The Greatest Man in Universe: Kijana mdogo aliyefanya makubwa na kuacha alama akiwa na umri mdogo

The Greatest Man in Universe: Kijana mdogo aliyefanya makubwa na kuacha alama akiwa na umri mdogo

Jmani mbona Shetani mumemsahau katika isti ya watu maarufu duniani?
Nadhani na yeye anastahili kuchuwa nafasi fulani, kwani anaga wafuasi wengi kweli,pengine kushinda Yesu na Muhammad,
Nakusudia kama Umaarufu ,basi shetani anaongoza ,na wafuasi wake ni wengi mno.
Hakuna kiumbe kiitwacho shetani. Shetanj ni status sio name. Mungu pia ni status sio name
 
We Youths, tufanye mambo yatakayo acha sifa nzuri kwenye jamii na kuacha alama za kudumu. Sio mtu una miaka 50 halafu jambo kubwa ulilofanya kwenye jamii ni kuacha watoto wengi kwa mama tofauti tofauti ambao hawajui thamani yako kama baba.. Pengine wanajuta kuja duniani kupitia kwa baba usiejali kama wewe..Unadhani jamii itakukumbuka kwa kua na mademu wengi mtaani?

Kila ukitaka kulala fikiria siku ukifa Jamii unayoishi itabaki inakukumbuka kwa lipi?
Ulikuja duniani kulewa tu kisha ufe au ulikuja ili uwe msaada na nuru kwa wanadamu wenzio?
Ishi vyema. Huku ukiiwazia siku utakayokua haupo ulimwenguni watu watadaidika nini na uwepo wapo huo.
Duu, imenigusa sana... Aisee God help me

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubishi uko wapi hapo kijana? Yule bibie amesema hisia zake na hili huwa lipo kuelewa au kutokuelewa kwa jambo sababu yake huwa ni lugha.
Nakufahamu vizuri sana.. ukianzisha ligi hukubali kushindwa. Utakua kuha wewe
 
Nakufahamu vizuri sana.. ukianzisha ligi hukubali kushindwa. Utakua kuha wewe

Maneni ya mwisho sijakuelewa vizuri.

Pili, huwa sishindani ndio maaa huwa sifikii muafaka na mtu, ukikubali utachukua usipokubali utaniachia maneno yangu.

Hivi ndivyo nilivyo mimi.
 
Maneni ya mwisho sijakuelewa vizuri.

Pili, huwa sishindani ndio maaa huwa sifikii muafaka na mtu, ukikubali utachukua usipokubali utaniachia maneno yangu.

Hivi ndivyo nilivyo mimi.
Haina shida kiongozi..nimekuelewa
 
Mtu anabishana na Wikipedia sio mtu wa kubishana nae unamuacha tu.

Hata utumie efforts zako zote kumuelewesha hatakuelewa hata kidogo na ndio mana sikumjibu chochote aisee.

Hatari sana...!
Wikipedia haijawahi kuwa sehemu ya uhakika kupata taarifa sahihi
 
Sasa kama yesu alikuwa mwanadamu ikawaje alivyokufa akafufuka????!!!


Basi huyu mwanadamu alikuwa si wa kawaida..
Ndugu tunazungumzia Yesu mwanadamu.. tukizungumzia ya uungu watapeleka jukwaa la dini
 
Uongo mtupu ulioandika Maria na Joseph hawakuwa Kaya maskini.

Wote walikuwa ukoo wa kifalme .Ukoo wa Mfalme Daudi..Kasome mathayo sura ya kwanza.Koo za kifalme hazijawahi kuwa Kaya maskini miaka hiyo Hadi Leo hii

Maselemala Sio watu maskini.Nenda keko dar es salaam kaangalie maselemala waliopo pale Wana magari ya mamilioni nyumba za uhakika na huuza funiture zao Hadi nje ya nchi.Aliyekuambia selemala ni mtu maskini Ni Nani?

Hata Yesu alizaliwa kwenye Holi la ng"ombe Sio sababu familia ya Joseph walikuwa Kaya maskini Bali sababu nyumba ya wageni ilikuwa imejaa.Pesa za kulipia walikuwa nazo

Duh mzee unashindana na maandiko kutoka kwenye ukoo wa kitajiri haimaanishi na wewe utakuwa tajiri


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Duh mzee unashindana na maandiko kutoka kwenye ukoo wa kitajiri haimaanishi na wewe utakuwa tajiri


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kanishangaza sana huyu jamaa..
Anabishana na unabii wa nabii Isaya
 
Back
Top Bottom