The Greatest Man in Universe: Kijana mdogo aliyefanya makubwa na kuacha alama akiwa na umri mdogo

The Greatest Man in Universe: Kijana mdogo aliyefanya makubwa na kuacha alama akiwa na umri mdogo

Dr shika ni mtu mwenye iq ya pekee, very smart person lakini kuna ins zinamsumbua

Nilichojifunza kupitia scenario ya mzee Shika na ushika wake ni just a curse toka kwa wazazi wako au ukoo, amini kuna makabila wako very sensitive sana ukijifanya wajua, that man anasumbuliwa na laana,nduguze wamekwisha lakini hakuwahi kukanyaga home kwao hata alipopata pesa aliishia kutanua karibu na kwao nauli kama ten afike lakini hakuona maana, tusalini lakini kitu mizimu ni ya kuacha kama ilivyo,

Sent using Jamii Forums mobile app
Ohooo kumbe kuna mengi nyuma ya pazia.
Sasa na watoto jee?
 
Nilichoweka hapo juu ni kitabu ambapo hiko kitabu kinazungumzia hao watu 100 then hiko kitabu ndio kikawekwa kwenye Wikipedia, sasa kwenye editing unayosema inaweza kufanyika labda mtu a-edit hiko kitabu ambapo sidhani kama kuna mtu mjinga yoyote ambaye anaweza kufanya ujinga huo.

Lakini pia, nasimamia nnachokiamini katika msimamo wangu kwa vile nnavyoamini, sasa hawezi kutokea mjinga mwengine eti aniaminishe kitu ambacho hakiniingii akilini halafu nikamuamini, kwa hilo siwezi ntamuangalia na kumuacha abaki na ujinga wake.
NDUKI , sorry kama nilivyosema sijui usahihi wa mnachobishania.
My point was here "ukiona mtu ana bishana hadi na Wikipedia" basi.
 
Hapana ,nasema tena hapana. Mwacheni huyu kijana ana akili Sana ,Kama hoja Ni kwamba amesoma maandiko ya watu na kuyaleta hapa kwani wangapi wanajua kusoma , kwa nini na wao wasisome na kuyaleta hapa.

Ni Watanzania wachache Sana hata hao wenye degree wanaoweza kusoma kitabu kizima Cha Kiingereza na kuelewa ujumbe kwenye kitabu hicho halafu wakashare na watu wengine. Nasema ni wachache Sana.

Watanzania waliowengi tumewekeza muda wetu kwenye mambo ya kipuuzi tu. Tunatumia muda mwingi kubishana mambo ya Simba na Yanga , upuuzi mtupu.

Nasema tena huyu kijana mleta mada ana akili Sana. Acheni chuki.
Kipawa kipi ulichopewa!??Cha kuchambua vitu !??ama ufundi wa kuwasilisha mawazo ya wataalam na wanafalsafa wengine!???

Ukiwa mwanazuoni lazima ukubali na kujifunza kuwapa credit walioandika hivyo ambavyo wewe umetohoa na kuleta hapa

Plagiarism ni jambo baya sana hebu tupe vyanzo vya andiko lako hili nasi tupate kujifunza na kuchuja wenyewe!!

Niwe muwazi naheshimu jitihada zako za kujua na kuchimba vitu kwa undani ili kupata elimu mpya ila jifunze kuweka reference bila kujali ni nyingi kiasi gani

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana ,nasema tena hapana. Mwacheni huyu kijana ana akili Sana ,Kama hoja Ni kwamba amesoma maandiko ya watu na kuyaleta hapa kwani wangapi wanajua kusoma , kwa nini na wao wasisome na kuyaleta hapa.

Ni Watanzania wachache Sana hata hao wenye degree wanaoweza kusoma kitabu kizima Cha Kiingereza na kuelewa ujumbe kwenye kitabu hicho halafu wakashare na watu wengine. Nasema ni wachache Sana.

Watanzania waliowengi tumewekeza muda wetu kwenye mambo ya kipuuzi tu. Tunatumia muda mwingi kubishana mambo ya Simba na Yanga , upuuzi mtupu.

Nasema tena huyu kijana mleta mada ana akili Sana. Acheni chuki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Soma tena nilichokiandika halafu uniambie !!
Je umekuta mahala popote pale nimeandika neno" Chuki"

Hujanisoma vizuri ukaja kujibu kwa mihemko..

Lazima tukubali kuelezana ukweli pia sio kila unalowaza wewe lazima kila mtu awaze hivyo.. na bila shaka mimi na yeye tumeshaelewana ndio mana sikuendelea kumqoute tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soma tena nilichokiandika halafu uniambie !!
Je umekuta mahala popote pale nimeandika neno" Chuki"

Hujanisoma vizuri ukaja kujibu kwa mihemko..

Lazima tukubali kuelezana ukweli pia sio kila unalowaza wewe lazima kila mtu awaze hivyo.. na bila shaka mimi na yeye tumeshaelewana ndio mana sikuendelea kumqoute tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona nimeandika kitu jaribu kugugo kama unaweza kukipata huko mitandaoni.
Nataka siku moja watu wayatafsiri mawazo yangu..sio mm nitafsiri mawazo ya wengine toka mitandaoni.
 
Ukiona nimeandika kitu jaribu kugugo kama unaweza kukipata huko mitandaoni.
Nataka siku moja watu wayatafsiri mawazo yangu..sio mm nitafsiri mawazo ya wengine toka mitandaoni.
Good luck!!In a nutshell nakubali unachokifanya ila si vyote ambavyo tunaweza tukakubaliana...

Do u know why!???bcoz we are human being every one has his/her own traits!!

Keep it up upo vizuri!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaa apo kweny time kama ulikuwa unanisema mm muda wa kazi nipo na mishe nyingine 🙄🙄

Thanks a lot bandiko lako limegonga kengere kichwan hakuna kesho ipo Leo tu 🙏🙏
 
Back
Top Bottom