Hussein mkenaguzi
Senior Member
- Oct 31, 2013
- 188
- 218
Onesha uthibitisho kuwa Yesu na Jesus ni kitu kimoja!Yesu yuko kwenye Biblia ,Issa Yuko kwenye kurani.Ni watu wawili tofauti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Onesha uthibitisho kuwa Yesu na Jesus ni kitu kimoja!Yesu yuko kwenye Biblia ,Issa Yuko kwenye kurani.Ni watu wawili tofauti
Kwahiyo haya uliyo yaandika naweza kuyapata kwenye Biblia sio?Rejea zipo nyingi nyingi ila kama unataka genuine waweza tafuta Biblia ukajisomea
Duh! Hebu anza kutudadavulia; personality ni nini,na iweje Yesu alikuwa nazo 2,wengine wanazo zaidi ya 24!! Pia usisahau kututajia angalau wawili wenye nazo zaidi ya mbili,wasopungua 3Wapo wenye personalities hadi 24 mkuu
Hali ya kiuchumi ya familiya ya mzee Yusuph bila shaka ilikuwa ni ya kawaida tu, hakuwa tajiri kama wakina Zakayo watoza ushuru. Ndiyo maana kuna rekodi katika kitabu cha Yohana anamwambia yule mwanafunzi aliyempenda kwamba amtunzie mama yake. Ukisoma vizuri vitabu vile vinne yaani Mathayo, Marko, Luka na Yohana unaweza kupata picha halisi ya hali ya kiuchumi ya familiya ya Mzee YusuphHeee Yesu alikua sio familia ya kifalme ila ni koo ya Ufalme..
Hawakuwa matajiri hata kidogo mkuu. Hata biblia inaelezea. Yesu alitakiwa azaliwe kwenye famili duni. Waisrael walikuwa wanategemea atatoka familia kubwa na maarufu ndio maana walimkataa kua sio yeye. Maana yesu waliyemuwaza sio aliyekuja
Yote yako kwenye kitabu kimoja Cha wakristo kinachoitwa Biblia na maelezp yote yanafanana kumhusu kuanzia kuzaliwa,maisha yake,kufa na kufufuka kwakeOnesha uthibitisho kuwa Yesu na Jesus ni kitu kimoja!
ebu nipe historia ya yesu nifahamu mkuu maria alibeba mimba yani!?na hapa unasema yesu baba yake ni joseph isije ikawa walianza kutoana bikra alafu wakaja kuoana kama tufanyavyo sisi wanadamu wa kizazi cha dot com. tunaita kutest mitambo mwisho mnazaa.nijibuni tu kwa nini akimbie kwao kama ajazini mpaka arudi na mtoto na huko alikokimbilia ni kwa nani mbona amumtaji aliekua amemuhifazi ktk kipindi chote cha ujauzito.nijibu kibinadamu mkuu kama unavyotakaSi ngumu.
Nataka tumzungumzie Jesus mwanadamu
Sina muda wa kukaa nikaandika mambo marefu kwa sasa.. ila kama una muda pitia pitia usome huu ugonjwa Dissociative identity disorder (DID)Duh! Hebu anza kutudadavulia; personality ni nini,na iweje Yesu alikuwa nazo 2,wengine wanazo zaidi ya 24!! Pia usisahau kututajia angalau wawili wenye nazo zaidi ya mbili,wasopungua 3
Soma Yohana 8:40 umsikie akijibu swali lakoMwanadamu..
Nikushukuru saana kwa kuukosa muda,mchana mwema Dr.Sina muda wa kukaa nikaandika mambo marefu kwa sasa.. ila kama una muda pitia pitia usome huu ugonjwa Dissociative identity disorder (DID)
inakuaje mada uanzishe wewe maswali usiweze jibu mkuu mie naona wewe ni mbabaishaji tu!mie sijui kitu kitu ila tunaweza pata kitu kupitia wewe.ungemjibu huyo mdau na kujibu wengine sie tusio na jua tungepata mwanga Ebu jibu kama ngumu kumesa futa uzi wakoSina muda wa kukaa nikaandika mambo marefu kwa sasa.. ila kama una muda pitia pitia usome huu ugonjwa Dissociative identity disorder (DID)
Naona wanikazimisha kujibu...inakuaje mada uanzishe wewe maswali usiweze jibu mkuu mie naona wewe ni mbabaishaji tu!mie sijui kitu kitu ila tunaweza pata kitu kupitia wewe.ungemjibu huyo mdau na kujibu wengine sie tusio na jua tungepata mwanga Ebu jibu kama ngumu kumesa futa uzi wako
Ni wakati gani anakua Yesu mungu na wakati gani anakuwa yesu binaadam?Sikutaka nimzungumzie kiimani.
Nimemzungumzia kama mtu tu wa kawaida ndio maana namwita ni mwanafalsafa.
Yesu ana personality 2 ambazo ni Uanadamu kwa 100% na Uungu kwa 100%.
Mimi nazungumzia yule Yesu mwanadamu.
Ni Muumba wa ulimwengu ndio kanipatia kipawa hikiMleta mada unasema umri wako ni miaka 20 kama ni kweli basi Mungu atakuwa amekujalia kipawa fulani. Ninachojua vijana wengi wa umri Kama wako wamejikita kwenye mambo ya kipuuzi tu . Mambo yasiyowasadia hata kidogo. Wengi wao wako kwenye vibanda wakibenti mechi za ligi za Ulaya.
Wengi wao hawana uwezo wa kusoma hata makala fupi yenye aya 10 kumi tu.
Wengi wao wake kwa waume wanashinda wakitazama thamthlia za Korea na India bila hata kuelewa maudhui ya senema hizo.
Katika umri huu mdogo ulio nao nani kakufundisha maarifa haya yote?
Nani kakupa hii hekima?
Sent using Jamii Forums mobile app