The Greatest Man in Universe: Kijana mdogo aliyefanya makubwa na kuacha alama akiwa na umri mdogo

The Greatest Man in Universe: Kijana mdogo aliyefanya makubwa na kuacha alama akiwa na umri mdogo

Mtu anabishana na Wikipedia sio mtu wa kubishana nae unamuacha tu.

Hata utumie efforts zako zote kumuelewesha hatakuelewa hata kidogo na ndio mana sikumjibu chochote aisee.

Hatari sana...!
Hukunijibu kwakua hujui.
 
The only thing nachokiona kwenye huu uzi ni kwamba unajaribu kutuambia kwamba Jesus was just a human being.

I have read a lot of Dan Browns books, including The Da Vinci Code, things you are trying to tell us are so much aligned with what his books advocate.

Get time to read this book down here, you might change some of what you believe in.
Ahsante mkuu kwa kitabu hiki. Nitapitia..
Ila mkuu Yesu alikua ni mwanadamu 100%.
Alikua na background zaidi ya moja na alikua na Personalities zaidi ya moja..
 
duh! pale story za kufikirika 'myths'/ visasili zinapohadithiwa kama historia ya kweli..
we still have a long journey to go
 
Back
Top Bottom