The Greatest Tackle in Futbol


Mkuu hamjaelewana tu... Wote mpo upande wa kiumbe wa ajabu MESSI... Mkuu ALEYN ndo anasema kwa heshima hapaswi kutajwa hapa
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha ha ha ha hii ya Offside kutokuwepo ndo ilikuwa balaa, yaani mtu anavizia anavyotaka. Sasa atashindwa kuwa na Magoli 1,000.
Leo hii Mchezaji akiwa na miaka 34 tunasema kazeeka, mfano Puyol alistaafu kutokana na mikimiki ya uwanjani.
Pele kacheza na watu ambao wana miaka 40-50 sasa hapo atashindwa kuwakimbiza?
 
Nesi kama Nesi hakuwahi kumpita Nesta kisha kufunga...

forza Nesta...
 
usimsahau Codoba na kitasa Cambiaso....hapo bado kuna kibabu Zanetti


Lucio alikuwa anamaliza na Walter Samuel au siku nyingine Chivu na Ivan Ramira Cordoba...
zanetti akawa anamwagwa namba 3 kwa kuwa Douglas Maicon alikuwa mashalaah kipindi kile kwa shavu la kulia...

huo ukuta ulikuwa unahamasishwa na jibwa la Polisi ambalo kupewa kadi nyekundu kwake ni easy like sunday morning, huyu ni Marco Materazzi

twende dimba la chini sasa...
 
"Ronaldo is the hardest attacker I've ever had to face. He was impossible to stop." - Alessandro Nesta.


ukimtaja Ronaldo kama ni De Lima basi anza na neno Muheshimiwa...
hawa akina B5-click wanamjuwa Ronaldo huyu wa kujipodoa tu, so utawachanganya
 
Chifu, huwezi kusema kitu bila kutukana? Siyo ustaarabu katika jukwaa la michezo. Kama humkubali mchezaji fulani, basi potezea tu.


hah hah hah halafu huyo anaemtukana ndie aliesababisha mpaka yeye apende kuutazama mpira...

wakati sisi tukimuangalia Dinho Magic yeye alikuwa anaangalia Mapishi ITV, so msimlaumu
 
Nessi alikutana na Nesta 'Babu' hakumkuta Nesta akiwa kwenye peak na bado andunje hakufurukuta.
Please msimfananishe Ronaldo 'El Phenomenon' na haka kaandunje, it's the greatest crime in football


hah hah hah Eskimo na De lima wapi na wapi?

yaani mbalimbali kama utosi na unyayo
 
Unachozungumza mkuu ndicho kweli... Messi ni kiumbe wa ajabu ktk soka, bila kujali umbile lake mambo anayoyafanya ni hatari.. Wanamtukana sana tena kwa kumuita NeSSI!??? Sisi tukimgusa 'nabii' wanalalama.


hata Nyangumi ni kiumbe cha ajabu, hata vyura wa kihansi ni viumbe wa ajabu...

lakini Nabii atabaki kuwa Nabii...

hah hah hah hah piga keleleeeeeeeeeee
 


kama hawajakuelewa na hapo basi MEMKWA inawahusu...
 


mkuu unachuma dhambi kwa kukosea kuandika jina la Nabii wa kwanza na wa mwisho wa Soka yaani Ronaldinho Magic...
 
Last edited by a moderator:


hah hah hah baelezee baelezee mkuu
 


hapo alikuwa klabu gani vilee?
 
Ronaldinho Gaucho ndo huwa namuona hero of all time in football.


swadaktaaar...
hapa sasa Asali imemwagikia kwenye futari...
Dinho Gaucho mtu aliekuja kuutia ladha mpira kiasi kwamba hata wenyewe ungekuwa na mdomo basi kwenye mechi ya Manchester UTD na Liverpool ungeuliza "Gaucho yupo wapi?"

mambo aliyofanya mazoezini Upele na Nesi basi Gaucho kayafanya ktk game...
 


katika fainali ya klabu bingwa ya Dunia kati ya AC Milan na Santos Upele kiwa Santos alikutana na ngoma Ngumu Trapatoni na Mzee Cesare Maldini...hah hah hah hakupiga hata dochi ktk game zote mbili ya kwanza ilianzia Italy na ya Pili ikaenda kupigwa Brazil na hukohuko Santos wakapakatwa na ndoo ikaletwa Sansiro...
 


shika adabu yako wewee...
fuatilia miaka aliocheza huyo upele wako je soka la ulaya lilikuaje?

sio unakurupuka tu...
 


na mwisho kabisa akathibisha kuwa yeye ni mshenzi na akastahafu kwa aibu kabisa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…