Of course katika forwards watano Duniani, andunje hawezi kukosa lakini mshambuliaji bora kati ya Ronaldo de Lima na Messi, Ronaldo atashinda hicho kinyang'anyiro kila siku.
Simchukii andunje na nikutaarifu tu mimi ni Juventini, sio kila anayem challenge Nessi basi ni Madrid, punguza kukariri
Sijui ni nani anaweza kucheza soka la ulaya bila kuwa na nguvu na speed, simjui kwa kweli.
Hawa kina nessi na christina wanatamba kipindi ambacho washambuliaji wamekua vimungu mtu uwanjani, wakiguswa tu faulo, kadi n.k tena huyo christina ndio kabisaa, akiguswa kidogo anaruka kama kapigwa kombora, credit to Messi though, hardly kumuona andunje akifanya simulation
But what about the art of defending in modern football, ambayo ndio inabeba theme ya hii thread? Siku hizi mabeki wanaogopa hata kufanya tackling kwa sababu kina christina wanaweza kugalagala uwanjani kama wamepigwa na kiguruneti bana? Sheria za siku hizi zinazidi kuwabeba washambuliaji na kuwakandamiza mabeki, hata tuzo siku hizi ni kwa ajili ya forwards tu, enzi hizo kulikua na msemo "Strikers win games, defenders and goalkeepers win championships."