Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
pale wachambuzi wa taarabu wanapovamia fani ya mpira
teh teh teh teh teh
Achana na Messi Pele hamkumuona mnamsifia
kipindi hicho mtu anamiaka 50 anacheza mpira
refa anaingia na suti uwanjani huku ameshika fimbo
Off side hakuna hebu vuta picha Messi angefunga magoli mangapi
Hahaha nakusoma bro, ila mi najua kuna Ronaldo mmoja tu, ambaye hata Ronaldinho ali-twist jina kwa heshima yake. Huyo mwingine lazima uanze na Cristiano.ukimtaja Ronaldo kama ni De Lima basi anza na neno Muheshimiwa...
hawa akina B5-click wanamjuwa Ronaldo huyu wa kujipodoa tu, so utawachanganya
Inakuaje Milan siku hizi hamsomeki mpaka Mino R. anawashauri kuunganisha timu na majirani zenu ili angalau mrudi kwenye chati. Tunawa-miss sana Ulaya arif, ila sioni kama mtakuja muda wowote karibuni. Madrid inahitaji mpinzani wa kweli wa vikombe, sio tuko 2 digits, hao wengine hata nusu yake bado.forza Milan
ukimtaja Ronaldo kama ni De Lima basi anza na neno Muheshimiwa...
hawa akina B5-click wanamjuwa Ronaldo huyu wa kujipodoa tu, so utawachanganya
hata Nyangumi ni kiumbe cha ajabu, hata vyura wa kihansi ni viumbe wa ajabu...
lakini Nabii atabaki kuwa Nabii...
hah hah hah hah piga keleleeeeeeeeeee
Labda wewe ndo umewamiss Ac Milan, timu ishakuwa kama Simba SC ya Tanzania. Milan alimpiga Barca San Siro gori 2-0 akafurahi sana, na posho wakamwagiwa za kutosha. Wakaona haitoshi, wakanunua magazeti yooote waisifie Milan kwa ushindi huo.Inakuaje Milan siku hizi hamsomeki mpaka Mino R. anawashauri kuunganisha timu na majirani zenu ili angalau mrudi kwenye chati. Tunawa-miss sana Ulaya arif, ila sioni kama mtakuja muda wowote karibuni. Madrid inahitaji mpinzani wa kweli wa vikombe, sio tuko 2 digits, hao wengine hata nusu yake bado.
King Lionel Andres Messi. Achana na Ronaldinho, Ronaldo de Lima, Cristiano Ronaldo, Inzaghi, Cantona, Henry, Hugo Sanchez n.kLegend ambaye bado anacheza mpira
hapo alikuwa klabu gani vilee?
Unamfananisha de lima na messi yupi? huyu Ramadhan Chanongo 'Messi' wa simba au?
Harafu Mkuu nakuheshimuuuuu!!!!!!!
Kipi ambacho De Lima kampita Messi?Kweli mpira umeanza kuangalia ukubwani. Real kabisa Messi mkali kuliko De Lima?
Wakati huyo Messi wako ndio anamsujudia De Lima
mkuu unachuma dhambi kwa kukosea kuandika jina la Nabii wa kwanza na wa mwisho wa Soka yaani Ronaldinho Magic...