Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
pale wachambuzi wa taarabu wanapovamia fani ya mpira
teh teh teh teh teh
Achana na Messi Pele hamkumuona mnamsifia
kipindi hicho mtu anamiaka 50 anacheza mpira
refa anaingia na suti uwanjani huku ameshika fimbo
Off side hakuna hebu vuta picha Messi angefunga magoli mangapi
which is Nesi? unamaanisha
ni haka kaeskimo ambako hakajawahi kubeba Word cup?