The Greatest Tackle in Futbol

hah hah hah rejea Fainali ya Champions League ya mwaka 1994

Wewe umebakia na historia yako tuu, wala hauna la kujisifia miaka hii miwili. Hivi sasa hivi mnashika nafasi ya ngapi Seria A?
 

"If You Hate This Man,,,You Hate Football". The most loved and respected player on the game ktk kipindi chote kilichosalia Duniani wengine wanarudia tu anachofanya Gaucho.
 
Wewe umebakia na historia yako tuu, wala hauna la kujisifia miaka hii miwili. Hivi sasa hivi mnashika nafasi ya ngapi Seria A?


soka halitazamwi kwa miaka miwili bosi...
rudi kwenye hoja kuu
 
ALEYN si ujibu hoja ya Machiavelli au huwezi nikupe tafu na Nessi wako, Nesii nesii......watu wameona madoctor bana na hawapigi kelele
 
Last edited by a moderator:
ALEYN si ujibu hoja ya Machiavelli au huwezi nikupe tafu na Nessi wako, Nesii nesii......watu wameona madoctor bana na hawapigi kelele

Mkuu, sijibu hoja za kijinga.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaaa, kwa hiyo unataka kusema 2Pac mjinga?
Juzi naona kwa mbindeeee

ha ha ha ha ile ilikuwa strategy ya kawaida tuu sio kwamba walikuwa wametubana kiviiiileeee.
Tunaficha tactics zetu ili tumuue vibaya PSG, kisha Juventus, tena hawa ndo tunawataka sana.
 
ha ha ha ha ile ilikuwa strategy ya kawaida tuu sio kwamba walikuwa wametubana kiviiiileeee.
Tunaficha tactics zetu ili tumuue vibaya PSG, kisha Juventus, tena hawa ndo tunawataka sana.

Temea chini, unawataka nani?
 
Nimesema nawataka JUVENTUS ya Italy, kwa jina lingine bwana wake AC Milan.

Unachokitaka utakipata ila tusije kulaumiana tu
Juventus the Bianconeri, Champions elect of the Uefa Champions League 2014/2015
 
Unachokitaka utakipata ila tusije kulaumiana tu
Juventus the Bianconeri, Champions elect of the Uefa Champions League 2014/2015

Dortmund alishajifia mda tuu, basi mmeona mpo kwenye fooooomu.
 
kwenye hiyo Game, mzee Pirlo lazima atokee Bench. Pirlo anapata namba akicheza na timu goigoi kama Ac Milan. Timu ambayo imebakiwa na historia tuu, inapitwa hata na Man U!!!!!
 
Dortmund alishajifia mda tuu, basi mmeona mpo kwenye fooooomu.

Nyie ndio mko kwenye form baada ya kung'oa goma la kimboka-buguruni, Manshity wanaochapwa na Burnley na Crystal Palace bila upinzani
 
kwenye hiyo Game, mzee Pirlo lazima atokee Bench. Pirlo anapata namba akicheza na timu goigoi kama Ac Milan. Timu ambayo imebakiwa na historia tuu, inapitwa hata na Man U!!!!!

Waambie Xavi, Iniesta, Busquets waingie na notebooks uwanjani maana St.Andrea Pirlo atakua na darsa huru siku hiyo, teaching them fools how to pass a ball
 
Nyie ndio mko kwenye form baada ya kung'oa goma la kimboka-buguruni, Manshity wanaochapwa na Burnley na Crystal Palace bila upinzani

ha ha ha ha ha ha ha ha umenichekesha sana, kabla sijamrudia Muumba wangu, kipindi cha nyuma niliendaga Kimboka hapo buguruni. Sasa nikawa sijui daladala za K/koo napandia wapi, nikamuuliza mtu kisha akanambia nimfate.
Heeeeeeh, si nikapigwa roba bhana, wakanichukulia simu na viela kama elfu 6 hivi. Ikabidi niombe nauli kwa majirani, mpaka leo buguruni sikanyagi.
Turudi kwenye mada, Man City walikuwa kwenye condition nzuri kabla hawajakabiliana nasi, kwahiyo kufungwa kwake ni sahihi kabisa. Na sisi ndio tuliowachanga mpaka wao wanajiona sio timu tenaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…