The Hidden Tanzania: Filamu itakayofuata baada ya The Royal Tour

The Hidden Tanzania: Filamu itakayofuata baada ya The Royal Tour

Nasema Uongo Ndugu Zangu

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
279
Reaction score
779
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni nyota wa filamu ya Tanzania The Royal Tour ameahidi kuja na filamu nyingine itakayoitwa The Hidden Tanzania.

Rais Samia amesema filamu hiyo italenga kuonesha vivutio ambavyo havikuonekana katika filamu yakwanza hususani vivutio vilivyopo nyanda za juu kusini.

Ameyasema hayo katika ziara yake mkoani Njombe alipokuwa akizungumzia sekta ya utalii.
 
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni nyota wa filamu ya Tanzania The Royal Tour ameahidi kuja na filamu nyingine itakayoitwa The Hidden Tanzania.

Rais Samia amesema filamu hiyo italenga kuonesha vivutio ambavyo havikuonekana katika filamu yakwanza hususani vivutio vilivyopo nyanda za juu kusini.

Ameyasema hayo katika ziara yake mkoani njombe alipokuwa akizungumzia sekta ya utalii.
Unawahi wapi? Umbea umekujaa.
 
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni nyota wa filamu ya Tanzania The Royal Tour ameahidi kuja na filamu nyingine itakayoitwa The Hidden Tanzania.

Rais Samia amesema filamu hiyo italenga kuonesha vivutio ambavyo havikuonekana katika filamu yakwanza hususani vivutio vilivyopo nyanda za juu kusini.

Ameyasema hayo katika ziara yake mkoani Njombe alipokuwa akizungumzia sekta ya utalii.
Bila shaka ulimaanisha the hidden Na siyo didden.
 
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni nyota wa filamu ya Tanzania The Royal Tour ameahidi kuja na filamu nyingine itakayoitwa The Hidden Tanzania.

Rais Samia amesema filamu hiyo italenga kuonesha vivutio ambavyo havikuonekana katika filamu yakwanza hususani vivutio vilivyopo nyanda za juu kusini.

Ameyasema hayo katika ziara yake mkoani Njombe alipokuwa akizungumzia sekta ya utalii.
Awamu ya tano alikuwa waziri wa ujenzi. Awamu ya sita, ni waziri wa utalii. Hii Katiba ije hata leo!
 
Mimi Nina wazo tofauti kidogo!
Nina wazo langu ambalo akilifanyia kazi utalii utakuwa sana kuliko Sasa, Tena Kwa ghalama nafuu mno kuliko ghalama za kuandaa hiyo filamu!
Japo siwezi kuliweka wazi hapa, wazo ni mtaji wazo ni utajili, Kuna watu huiba mawazo na kujiingizia mamilioni
 
Ninamuomba Mama ikitokea fursa hiyo Tena asiishie kuweka vivutio vya kusini tu.Ni Bora pia akatumia muda wake adhimu akaviweka vivutio na mbuga zote ambazo hazikuonyeshwa kwenye Royal Tour.,Afike hata Rubondo,Rumanyika, Burigi Chato na Kigona hifadgi ya sokwe ya Gombe.
 
Ninamuomba Mama ikitokea fursa hiyo Tena asiishie kuweka vivutio vya kusini tu.Ni Bora pia akatumia muda wake adhimu akaviweka vivutio na mbuga zote ambazo hazikuonyeshwa kwenye Royal Tour.,Afike hata Rubondo,Rumanyika, Burigi Chato na Kigona hifadgi ya sokwe ya Gombe.
Ndivyo alivyosema kwamba zile sehemu ambazo hazikuonekana kwenye filamu ya Royal tour sasa zitaonekana kwenye the hidden film.
 
Naomba iwe na mjumuisho kuanzia wasanii wetu wote kweny boxing pale mandonga mtu kazi wamkaririshe kingereza auze sura kidogo mandonga mtu wa kazi .

Michezo yote pamoja na tasnia zetu zote za muziki na bongo movie
 
Tukisema ukweli kuwa mwanamke hana akili yoyote ya kuongoza watu wanasema tunatukana
 
Back
Top Bottom