Faru john naye yuko kwenye entertainment industry?? [emoji23] [emoji23]Hakuna kitu kama faru john, na wimbo wa komba ccm mbele kwa mbele 'wacha tuisome namba'.
maana ileile mkuuUkimaanisha nini mkuu?
Hahahaha! Ameandika mwenyewe, mimi nikachangia mawazo tu kabla hajaupost.. Kwahiyo its me and her, The Bolds