The Highs & Lows katika burudani na 'ubuyu' 2016

The Highs & Lows katika burudani na 'ubuyu' 2016

Hongera Nifah kwa uchambuzi uliotukuka!
Haichoshi.....nimekupenda bure
Kwa thread hii ni lazima nipokee pongezi zenu nyingi sana watoto wa Tandale.

Lakini tukikutana ktk threads nyingine nikisema msiyotaka kuyasikia mnaporomosha matusi mazito mazito
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sio case anyway, I'm built for this shi*t.
Shukraan [emoji120]
 
Kwanini isiwe kwa Ali sipokuwepo tutamsahau Diamond?

Suala la Diamond na Ali Kiba ni sawa na ecosystem i.e wote wanategemeana.

Ni nani anayejua kama endapo Ray angetangulia mbele ya haki badala ya Kanumba hali ingekuwaje?
Ray angetangulia kanumba angebaki (mfano tu wakuu) kusingekuwa na kutetereka kwenye industry coz Ray ndio alikuwa anasafiria nyota ya kanumba but kanumba ndio alikuwa na impact kwa kusogeza mbele industry.. Am sure unakumbuka harakati zake..

The same kwa diamond na kiba! Kiba anasafiria nyota, ndio maana hata ile miaka mitatu "aliyostaafu" Bongofleva haikutikisika na aliporudi aliikuta Chibu ameivusha kwenda level za juu Afrika..
 
Safi sana umejitaidi ku-balance.

kama ningeandika mimi matukio yote ya Madale yangekuwa Negatively.
Na yale ya kariakoo yote yangekuwa Positively.

Ila nyie mpo karibu Na Mange Kimambi Na Mange yupo karibu Na Wema kwanini msimtumie Mange kumuweka sawa Wema?!
Ali Kiba kaiba mashabiki wa Wema Na ndio hao wanaomfanya atambe mpaka kimataifa sasa kwanini Wema anashindwa kutumia mashabiki wake mwenyewe kutusua japo kitaifa?!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mzaramo ungeiandika wewe Wallah vijana wa Madale wangeisoma namba leo.

Wema ni sikio la kufa.
Period [emoji135]
 
Usinichukulie Kishabiki Maana Yangu Ni Nzuri Tu, Na Ninaposema Muziki Wa Tanzania Haujakua Namaanisha,

- Wasanii Wa Tanzania Hawana Hits Zozote Nje Ya Nchi, Isipokuwa Kenya ( Kitu Ambacho Tangu Zamani kiko Hivyo )

- Fedha Wanazolipwa Wasanii Ni Kidogo Mno Kama Zamani Tu.Msanii Mchanga Tu Na Wa Juzi Tu Kama Tecno Analipwa Pesa Kubwa Na Kupewa Uzito Mkubwa Kwenye Matamasha Yetu Kuliko Wasanii Wetu Wakubwa. Tecno Ni Sawa Tu Na Kina Baraka Na Nuh Mziwanda

- Bado Makampuni Hayawaamini Wasanii Ndio Maana Msanii Mkubwa Kama Alikiba Hana Endorsement Yoyote Wakati Nigeria Korede Belo Tu Ana Lundo La Endorsement.

- Wasanii Wetu Hawapati Matamasha Makubwa Ya Heshima Ng'ambo

- Bado Unapofanya Collabo Na Wao, Wao Ndio Wanaopata Faida Kubwa.
Umejibu tofauti na ulichokisema mwanzo mkuu.
Hata hivyo this time uko na point [emoji122]
 
Mama unakumbuka kipindi Kanumba yuko hai namna ambavyo Ray alikuwa juu.. But unaona sasa alivyoporomoka mpaka tumemsahau kama anaexist??

The sama kwa Ali.! Siku Diamond asipokuwepo (Mungu aepushe) Ali tuna msahau..

Kama ilivyokuwa kwa Kanumba, sio yeye aliyeanzisha Movies, but mchango wake kwenye industry ulikuwa mkubwa kiasi kwamba kuondoka kwake kumefanya Bongo Movie ife..

The same kwa Chibu, yes hajaanzisha mziki but mchango wake ni mkubwa kiasi kwamba siku asipokuwepo, Bongo fleva wataisoma namba na kuelewa alikuwa anawabeba kiasi gani..
Unasahau Kanumba na Ray walitoka pamoja kaole na movie zao za mwanzo walikuwa wakiingiza pamoja.

Na kabla yao soko la movie alikuwa juu bongo lilikuwa kawaida mno wao ndio waliliamsha.

Ali na Nasibu ni story tofauti...Wakina A.Y,Jide,Ali,Cpwa,Witness walikuwa washaanza kutusua nje kabla ya Dimond kuja kilichotokea Dimond alikuja na nguvu kubwa zaidi yao.

Damu changa iliyopata management nzuri ndio sababu ya Dimond kwenda mbele kwa kasi ya haraka namna ile ila huwezi sema bila yeye Bongo flava inakufa maana ilikuwepo kabla yake na mifano ipo mingi tu.
 
Umejibu tofauti na ulichokisema mwanzo mkuu.
Hata hivyo this time uko na point [emoji122]
Nadhani Sasa Tunakubaliana Muziki Wa Tanzania Haujakua Kama Inavyosemwa.

- Wasanii Wapunguze Majungu Na Beef Za Kijinga - Wafanye Kazi Kwa Ubunifu.
 
Kwa thread hii ni lazima nipokee pongezi zenu nyingi sana watoto wa Tandale.

Lakini tukikutana ktk threads nyingine nikisema msiyotaka kuyasikia mnavurumusha matusi mazito mazito
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sio case anyway, I'm built for this shi*t.
Shukraan [emoji120]
😀😀😀😀
 
Unasahau Kanumba na Ray walitoka pamoja kaole na movie zao za mwanzo walikuwa wakiingiza pamoja.

Na kabla yao soko la movie alikuwa juu bongo lilikuwa kawaida mno wao ndio waliliamsha.

Ali na Nasibu ni story tofauti...Wakina A.Y,Jide,Ali,Cpwa,Witness walikuwa washaanza kutusua nje kabla ya Dimond kuja kilichotokea Dimond alikuja na nguvu kubwa zaidi yao.

Damu changa iliyopata management nzuri ndio sababu ya Dimond kwenda mbele kwa kasi ya haraka namna ile ila huwezi sema bila yeye Bongo flava inakufa maana ilikuwepo kabla yake na mifano ipo mingi tu.
OMG!mzaramo hujawahi kuongea point kama leo!
Kungekuwa na vitufe vya reputation power kama zamani ningeshabonyeza kukuongezea kwa madini haya uliyomwaga hapa.

[emoji122] [emoji122] [emoji122] agiza chochote hapo,nakuja kulipa fastaaaaaa [emoji6]
 
Nadhani Sasa Tunakubaliana Muziki Wa Tanzania Haujakua Kama Inavyosemwa.

- Wasanii Wapunguze Majungu Na Beef Za Kijinga - Wafanye Kazi Kwa Ubunifu.
Bado haujakuwa kwa viwango hasa vya kimataifa, tuna njia ndefu ya kuwafikia Wanaigeria na Waafrika Kusini kisha tuwaze kutoboa mambele.

Sure [emoji122]
 
Back
Top Bottom