The History of God

Wanasayansi wenyewe wanasema "energy and mass can never be created nor destroyed" pia wanakubali hivi vitu viwili vilikuepo tu hakuna alieviumba

Ikiwa "energy and mass" zipo milele hivyo naamini wataweza kukubali Mungu yupo milele hana mwanzo wala mwisho maana sio lazima kila kitu kiwe na sifa ya mwanzo na mwisho.

Asante
 
Kuwa na subira muda husema kweli, hiyo siku ya Yesu kuja itafika na hakuna yeyote ile aijuae haijalishi itachukua muda gani Lakini itafika.
Acha kujiuliza maswali kuhusu Mungu alitoka wapi, Vitu Mungu alivyovikalia kimya ni vizuri kuvikalia kimya pia kwani hapendezwi ukianza kumhofia na inakuwa ni kufuru kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…