The history of Nubians, aliens and Earthans

The history of Nubians, aliens and Earthans

Nimeishia hapa.

"The earth is 4.5 billion years old. The Khoi and San (Yellow or light skinned Africans) existed for over 3 billion years on Earth."

Sina muda wa kupoteza.
over 3 billion years cab be 3.3,3.5or 3.8 billion years sasa ww ulivyo ona over 3 billion years okajua 5 au, any way sijui uliwaza nn 😂. nauhakika ukisoma historia yote unapata kitu
 
over 3 billion years cab be 3.3,3.5or 3.8 billion years sasa ww ulivyo ona over 3 billion years okajua 5 au, any way sijui uliwaza nn 😂. nauhakika ukisoma historia yote unapata kitu
Hao watu hawakuwepo hata miaka milioni moja iliyopita, kwa mujibu wa accepted science.

Milioni, si bilioni. Bilioni moja ina milioni elfu moja. Hao watu hawakuwapo hata miaka milioni moja iliyopita, sasa mtu anasema walikuwepo miaka milioni elfu tatu iliyopita!

Watu wanajua tofauti ya milioni na bilioni?

Homo Sapiens emerged 300,000 years ago at the earliest. If I am being very generous.

Sasa linganisha 300,000 years na 3 billion years.

The claim is off by a factor of 10,000 if I am being overly generous.

Yani mtu anayeilinganisha 1 na 10,000 kwa kufanya makosa hivyo sina muda wa kumsoma.
 
Hao watu hawakuwepo hata miaka milioni moja iliyopita, kwa mujibu wa accepted science.

Homo Sapiens emerged 300,000 years ago at the earliest. If I am being very generous.

Sasa linganisha 300,000 years na 3 billion years.

The claim is off by a factor of 10,000 if I am being overly generous.

Yani mtu anayeilinganisha 1 na 10,000 kwa kufanya makosa hivyo sina muda wa kumsoma.
uaongelea accepted science wakati hapo tunazungumzia miaka billion 3 ilio pita, unaongelea accepted science inayo kuwa approved na technologia yetu ambayo hatuwezi jenga hata pyramids na zipo, tuaziona reamls portal sehemu kama bermuda tunashangaa, yan kwenye mambo haya science ya viumbe vilaza kana binadamu haijui kitu kabixaa yan zero afadhali dini
 
uaongelea accepted science wajati hapo tunazungumzia miaka billion 3 ilio pita, unaongelea accepted science inayo kuwa approved na technologia yetu ambayo hatuwe jenga pyramids na zipo, tuaziona reamls portal sehemu kama bermudu tunashangaa, yan kwenye mambo haya science ya viumbe vilaza kana binadadamu haijui kitu kabixaa yan zero afadhali dini
Kwa nini unasema hatuwezi jenga pyramid wakati tumejenga maghorofa makubwa kuliko pyramids?

Tujenge pyramid ili litatue tatizo gani?

Sio tu tunaweza kujenga ma pyramid, tunaweza kuyajenga kwa haraka zaidi.

Watu wamejenga Burj Khalifa limepanda juu zaidi ya mara sita ya pyramid kubwa kabisa.

Kwa nini unasema hatuwezi kujenga ma pyramid?

This is not factual.

You are wrong again.
 
Kwa nini unasema hatuwezi jenga pyramid wakati tumejenga maghorofa makubwa kuliko pyramids?

Tujenge pyramid ili litatue tatizo gani?

Sio tu tunaweza kujenga ma pyramid, tunaweza kuyajenga kwa haraka zaidi.

Watu wamejenga Burj Khalifa limepqnda juu zaidi ya mara sita ya pyramid kubwa kabisa.

Kwa nini unasema hatuwezi kujenga ma pyramid?

This is not factual.

You are wrong again.
Technology ilio tumika kuchonga na kunyanyua mawe ya uzito ule sisi hatuna mpaka leo
 
Kwa nini unasema hatuwezi jenga pyramid wakati tumejenga maghorofa makubwa kuliko pyramids?

Tujenge pyramid ili litatue tatizo gani?

Sio tu tunaweza kujenga ma pyramid, tunaweza kuyajenga kwa haraka zaidi.

Watu wamejenga Burj Khalifa limepanda juu zaidi ya mara sita ya pyramid kubwa kabisa.

Kwa nini unasema hatuwezi kujenga ma pyramid?

This is not factual.

You are wrong again.
Mkuu huwezi kulinganisha technology iliyo tumika kujenga pyramid na technology iliyo tumika kujenga burj khalifa.

U know ukubwa sio tatizo mkuu ishu ni complexity ya jengo lenyewe..

For a heavenly body to be given the title of planet the size does not matter, what it matters is how it orbits the sun.

Our moon is bigger than pluto but pluto will remain to be a planet and our moon will remain to be a moon.
 
Hao watu hawakuwepo hata miaka milioni moja iliyopita, kwa mujibu wa accepted science.

Milioni, si bilioni. Bilioni moja ina milioni elfu moja. Hao watu hawakuwapo hata miaka milioni moja iliyopita, sasa mtu anasema walikuwepo miaka milioni elfu tatu iliyopita!

Watu wanajua tofauti ya milioni na bilioni?

Homo Sapiens emerged 300,000 years ago at the earliest. If I am being very generous.

Sasa linganisha 300,000 years na 3 billion years.

The claim is off by a factor of 10,000 if I am being overly generous.

Yani mtu anayeilinganisha 1 na 10,000 kwa kufanya makosa hivyo sina muda wa kumsoma.
Vipi kuhusu ushahidi kwamba binadamu amekuwa akiishi kwenye sayari hii ya dunia toka miaka milioni saba iliyo pita? Ur talking about 300000 yrs ago. Nope mkuu that's very recent
 
Mkuu huwezi kulinganisha technology iliyo tumika kujenga pyramid na technology iliyo tumika kujenga burj khalifa.

U know ukubwa sio tatizo mkuu ishu ni complexity ya jengo lenyewe..

For a heavenly body to be given the title of planet the size does not matter, what it matters is how it orbits the sun.

Our moon is bigger than pluto but pluto will remain to be a planet and our moon will remain to be a moon.
Nimeuliza technology gani?

Sijajibiwa.

Ina maana unabishana sana kwa kitu ambacho hata hukijui.

Kwa nini technology iliyotumika iwe muhimu kuliko technology tunayojua ipo sasa?

Sasa hivi tuna vyombo vinaenda interstellar space. Hivi havina mjadala.

Voyager 1 and 2.

Hao waliojenga pyramids walituma vyombo kwenda interstellar space? Unaweza kuthibitisha hilo?
 
Nimeuliza technology gani?

Sijajibiwa.

Ina maana unabishana sana kwa kitu ambacho hata hukijui.

Kwa nini technology iliyotumika iwe muhimu kuliko technology tunayojua ipo sasa?

Sasa hivi tuna vyombo vinaenda interstellar space. Hivi havina mjadala.

Voyager 1 and 2.

Hao waliojenga pyramids walituma vyombo kwenda interstellar space? Unaweza kuthibitisha hilo?u


U can know the artist by studying his art.

Alien technology
 
Vipi kuhusu ushahidi kwamba binadamu amekuwa akiishi kwenye sayari hii ya dunia toka miaka milioni saba iliyo pita? Ur talking about 300000 yrs ago. Nope mkuu that's very recent
Ushahidi huo uko wapi?

Halafu, unaposema "binadamu" unamaanisha nini? Mimi nimetumia maneno very specific yanayoweza kuangaliwa kisayansi, Homo Sapiens.

Wewe unaposema "binadamu" unamaanisha nini?

Mimi kwanza sikubaliani na dhana ya kwamba watu wameanzia kwa Adam. Kwa hiyo, unless baba yake huyo mtu anaitwa Adam, ukimuita mtu "binadamu" unamuita hivyo kimakosa.
 
Nimeuliza technology gani?

Sijajibiwa.

Ina maana unabishana sana kwa kitu ambacho hata hukijui.

Kwa nini technology iliyotumika iwe muhimu kuliko technology tunayojua ipo sasa?

Sasa hivi tuna vyombo vinaenda interstellar space. Hivi havina mjadala.

Voyager 1 and 2.

Hao waliojenga pyramids walituma vyombo kwenda interstellar space? Unaweza kuthibitisha hilo?
😂😂😂 unazunguamzia interstellar space, kasomr tablet za ghaza kuna michoro ya space craft na space suites ya miaka mingi zaidi BC spicies ya binadam ni ya juzi tu
 
😂😂😂 unazunguamzia interstellar space, kasomr tablet za ghaza kuna michoro ya space craft na space suites ya miaka mingi zaidi BC spicies ya binadam ni ya juzi tu
Nikasome wapi? Weka ushahidi hapa. Umeshindwa kuweka hata link?

Nikichora michoro ya space craft na "space suites" maana yake ni nini?

Maana yake nimesafiri mpaka kufika interstellar space?
 
Nikasome wapi? Weka ushahidi hapa. Umeshindwa kuweka hata link?

Nikichora michoro ya space craft na "space suites" maana yake ni nini?

Maana yake nimesafiri mpaka kufika interstellar space?
kumbe ndo uko mweupe ivo, am Done🤨
Nikasome wapi? Weka ushahidi hapa. Umeshindwa kuweka hata link?

Nikichora michoro ya space craft na "space suites" maana yake ni nini?

Maana yake nimesafiri mpaka kufika interstellar space?
 
kumbe ndo uko mweupe ivo, am Done🤨
Mweupe ni wewe unayeweka mambo juu juu. Tena si mweupe tu, bali mvivu pia.

Nimegoogle "Ghaza Tablet" sijaona lolote linalohusiana na haya mazungumzo.

Nikasome wapi?

Weka link tuichambue. Ukishindwa, wewe ndiye mweupe.

Kwa sababu kama ni suala la kutaja kitu tu, unaweza kutaja kitu cha kujitungia tu ambacho hakipo.

 
Back
Top Bottom