Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
Habari wana jamvi.
Twende kwenye Mada yetu,
Igbo ni kabila linalo patikana Kusini Mashariki mwa nchi ya Nigeria na nchi nyingine jirani. Kabila hili limesambaa nchi nzima ya Nigeria hasa kwenye majiji makubwa kama Lagos. Lakini sio hivyo tuu wamesambaa ulimwenguni pote wakifanya biashara.
Igbo ni kabila tajiri na lililo fanikiwa zaidi Afrika wana miliki biashara kubwa ndani na nje ya Afrika. Wana bidii sana ya kazi na ujanja wa mjini, Yani ni Smart guys. Wanafana kwa kiasi na Wakikuyu na Wachagga.
Pia ni kabila lenye akili zaidi Afrika yani wana akili za kuzaliwa sio za kukariri kariri, wakina Echukuemeka na wengine ndio wanaongoza kwenye mtihani ya kitaifa huko Nigeria. Mara nyingi ukisikia mtu mweusi kafanya maajabu kwenye vyuo vikubwa kama Havard mara nyingi wanakuwa ni hawa Igbo.
Hawa jamaa hata ukiwapeleka jangwani miaka michache utakuta Makasri na biashara nyingi hapo ndio maana jamii nyingi za kiafrika zina waonea wivu hawa watu na kuwapa kashfa mbaya mbaya kisa wamefanikiwa kuwazidi wao.
Sasa kilicho nifanya niandike uzi huu ni juu ya utaratibu wao wa Apprenticeship yani wana bebana sana na kurithishana spirit ya biashara ndiyo maana wao wana endelea kuwa wafanya biashara vizazi baada ya vizazi.
Ni kwamba mtu mwenye biashara yake ana mchukua kijana mdogo anaenda kufanya kazi kwake mara nyingi wana kuwa either mtoto, ndugu au jirani, kwa hiyo mzazi ndiye anaye mkabidhi, anafanya kazi ndani ya miaka 3 hadi 5 bila malipo sana sana zaidi ni anapata huduma za chakula, malazi na mengine ya lazima. Baada ya miaka hiyo 5 ya kufanya kazi kwa bidii kwenye mazingira ya biashara ndio anachwa kuwa huru na yeye ana anzisha biashara yake na mara nyingi wanapewa mitaji hapo alipkuwa anafanyia kazi.
Huu umekuwa ni utaratibu wao wa muda mrefu yani mtu anafanya kwa vitendo na ndio inafanya kabila hilo kufanikiwa kibiashara kwa sababu wana ujuzi mwingi na sio nadharia pekee.
Je utaratibu huu upo kwenye jamii gani hapa Tanzania.? Na unafaa kuigwa..?
Twende kwenye Mada yetu,
Igbo ni kabila linalo patikana Kusini Mashariki mwa nchi ya Nigeria na nchi nyingine jirani. Kabila hili limesambaa nchi nzima ya Nigeria hasa kwenye majiji makubwa kama Lagos. Lakini sio hivyo tuu wamesambaa ulimwenguni pote wakifanya biashara.
Igbo ni kabila tajiri na lililo fanikiwa zaidi Afrika wana miliki biashara kubwa ndani na nje ya Afrika. Wana bidii sana ya kazi na ujanja wa mjini, Yani ni Smart guys. Wanafana kwa kiasi na Wakikuyu na Wachagga.
Pia ni kabila lenye akili zaidi Afrika yani wana akili za kuzaliwa sio za kukariri kariri, wakina Echukuemeka na wengine ndio wanaongoza kwenye mtihani ya kitaifa huko Nigeria. Mara nyingi ukisikia mtu mweusi kafanya maajabu kwenye vyuo vikubwa kama Havard mara nyingi wanakuwa ni hawa Igbo.
Hawa jamaa hata ukiwapeleka jangwani miaka michache utakuta Makasri na biashara nyingi hapo ndio maana jamii nyingi za kiafrika zina waonea wivu hawa watu na kuwapa kashfa mbaya mbaya kisa wamefanikiwa kuwazidi wao.
Sasa kilicho nifanya niandike uzi huu ni juu ya utaratibu wao wa Apprenticeship yani wana bebana sana na kurithishana spirit ya biashara ndiyo maana wao wana endelea kuwa wafanya biashara vizazi baada ya vizazi.
Ni kwamba mtu mwenye biashara yake ana mchukua kijana mdogo anaenda kufanya kazi kwake mara nyingi wana kuwa either mtoto, ndugu au jirani, kwa hiyo mzazi ndiye anaye mkabidhi, anafanya kazi ndani ya miaka 3 hadi 5 bila malipo sana sana zaidi ni anapata huduma za chakula, malazi na mengine ya lazima. Baada ya miaka hiyo 5 ya kufanya kazi kwa bidii kwenye mazingira ya biashara ndio anachwa kuwa huru na yeye ana anzisha biashara yake na mara nyingi wanapewa mitaji hapo alipkuwa anafanyia kazi.
Huu umekuwa ni utaratibu wao wa muda mrefu yani mtu anafanya kwa vitendo na ndio inafanya kabila hilo kufanikiwa kibiashara kwa sababu wana ujuzi mwingi na sio nadharia pekee.
Je utaratibu huu upo kwenye jamii gani hapa Tanzania.? Na unafaa kuigwa..?