The Igbo Apprenticeship System

The Igbo Apprenticeship System

Mfumo wa Ufundi umeenea sana katika jamii ya Wachaga kaskazini mwa Tanzania. Wachaga wana utamaduni mkubwa wa ujasiriamali na wamefanikiwa sana kibiashara.

Mfumo wa Ufundi umechangia pakubwa katika mafanikio yao kwa kuwawezesha vijana kupata ujuzi na maarifa yanayohitajika kuanzisha na kuendesha biashara zao.

Mbali na mfano wa Wachaga, mfumo wa Ufundi unatumika pia katika jamii nyingine nchini Tanzania kama vile Wamasai, Wahaya. Kila jamii ina mfumo wake wa kipekee unaoendana na utamaduni na mahitaji yake.
 
Habari wana jamvi.

Twende kwenye Mada yetu,

Igbo ni kabila linalo patikana Kusini Mashariki mwa nchi ya Nigeria na nchi nyingine jirani. Kabila hili limesambaa nchi nzima ya Nigeria hasa kwenye majiji makubwa kama Lagos. Lakini sio hivyo tuu wamesambaa ulimwenguni pote wakifanya biashara.

Igbo ni kabila tajiri na lililo fanikiwa zaidi Afrika wana miliki biashara kubwa ndani na nje ya Afrika. Wana bidii sana ya kazi na ujanja wa mjini, Yani ni Smart guys. Wanafana kwa kiasi na Wakikuyu na Wachagga.

Sasa kilicho nifanya niandike uzi huu ni huu utaratibu wa wa Apprenticeship yani wana bebana sana na kurithishana spirit ya biashara ndiyo maana wao wana endelea kuwa wafanya biashara vizazi baada ya vizazi.

Ni kwamba mtu mwenye biashara yake ana mchukua kijana mdogo anaenda kufanya kazi kwake mara nyingi wana kuwa either mtoto, ndugu au jirani, kwa hiyo mzazi ndiye anaye mkabidhi, anafanya kazi ndani ya miaka 3 hadi 5 bila malipo sana sana zaidi ni anapata huduma za chakula, malazi na mengine ya lazima. Baada ya miaka hiyo 5 ya kufanya kazi kwa bidii kwenye mazingira ya biashara ndio anachwa kuwa huru na yeye ana anzisha biashara yake.

Huu umekuwa ni utaratibu wao wa muda mrefu yani mtu anafanya kwa vitendo na ndio inafanya kabila hiyo kufanikiwa kibiashara kwa sababu wana vitendo vingi na sio nadharia.

Je utaratibu huu upo kwenye jamii gani hapa Tanzania.? Na unafaa kuigwa..?
hata sisi wachaga mbona tunafanya hivyo hivyo ndugu yangu.
 
Ngoja tu nikusaidie kitu kimoja ujakiweka hapo kwmba hao IGBO ndo kabila lenye akili zaidi kwa afrika kwa takwimu zilizotoka hao jmaa ni noma.
 
Mfumo wa Ufundi umeenea sana katika jamii ya Wachaga kaskazini mwa Tanzania. Wachaga wana utamaduni mkubwa wa ujasiriamali na wamefanikiwa sana kibiashara.

Mfumo wa Ufundi umechangia pakubwa katika mafanikio yao kwa kuwawezesha vijana kupata ujuzi na maarifa yanayohitajika kuanzisha na kuendesha biashara zao.

Mbali na mfano wa Wachaga, mfumo wa Ufundi unatumika pia katika jamii nyingine nchini Tanzania kama vile Wamasai, Wahaya. Kila jamii ina mfumo wake wa kipekee unaoendana na utamaduni na mahitaji yake.
Ni kweli mkuu ila huku kwetu bado hatuja utumia vizuri kama wa Igbo, bado tunacha kujifunza kwao
 
Ngoja tu nikusaidie kitu kimoja ujakiweka hapo kwmba hao IGBO ndo kabila lenye akili zaidi kwa afrika kwa takwimu zilizotoka hao jmaa ni noma.
Ni kweli wana ongoza kwa akili hawa akina Echukuemeka, ni hatari kwa akili ndio wana ongoza kwenye mitihani Nigeria na wapo vyuo vikuu vikubwa vyote duniani.
 
Habari wana jamvi.

Twende kwenye Mada yetu,

Igbo ni kabila linalo patikana Kusini Mashariki mwa nchi ya Nigeria na nchi nyingine jirani. Kabila hili limesambaa nchi nzima ya Nigeria hasa kwenye majiji makubwa kama Lagos. Lakini sio hivyo tuu wamesambaa ulimwenguni pote wakifanya biashara.

Igbo ni kabila tajiri na lililo fanikiwa zaidi Afrika wana miliki biashara kubwa ndani na nje ya Afrika. Wana bidii sana ya kazi na ujanja wa mjini, Yani ni Smart guys. Wanafana kwa kiasi na Wakikuyu na Wachagga.

Sasa kilicho nifanya niandike uzi huu ni huu utaratibu wa wa Apprenticeship yani wana bebana sana na kurithishana spirit ya biashara ndiyo maana wao wana endelea kuwa wafanya biashara vizazi baada ya vizazi.

Ni kwamba mtu mwenye biashara yake ana mchukua kijana mdogo anaenda kufanya kazi kwake mara nyingi wana kuwa either mtoto, ndugu au jirani, kwa hiyo mzazi ndiye anaye mkabidhi, anafanya kazi ndani ya miaka 3 hadi 5 bila malipo sana sana zaidi ni anapata huduma za chakula, malazi na mengine ya lazima. Baada ya miaka hiyo 5 ya kufanya kazi kwa bidii kwenye mazingira ya biashara ndio anachwa kuwa huru na yeye ana anzisha biashara yake.

Huu umekuwa ni utaratibu wao wa muda mrefu yani mtu anafanya kwa vitendo na ndio inafanya kabila hiyo kufanikiwa kibiashara kwa sababu wana vitendo vingi na sio nadharia.

Je utaratibu huu upo kwenye jamii gani hapa Tanzania.? Na unafaa kuigwa..?
hapa kuna kabila ccm ni wezi sijapata kuona na wanaongoza kwa mikopo
 
Waigbo wanasaidiana sana lakini sio kwa tabia za kitumwa kama kufanya kazi bure miaka mitano.

Mnigeria wa kufanya kazi bure miaka mitano utampata wapi Dunia hii?,tena muigbo ndio hupati hata mmoja labda makabila mengine kama kabila la Fulan, Hausi n,k
 
Kikuyu ,igbo na wasomali kwa Africa hakuna mfano wao.
Hawa watu ni hatari sana wakienda sehemu wanaitana na kusaidiana vibaya mno na walizaliana kweli population zao ni kubwa sana.
 
Waigbo wanasaidiana sana lakini sio kwa tabia za kitumwa kama kufanya kazi bure miaka mitano.

Mnigeria wa kufanya kazi bure miaka mitano utampata wapi Dunia hii?,tena muigbo ndio hupati hata mmoja labda makabila mengine kama kabila la Fulan, Hausi n,k
Sio bure mkuu unakuwa kwa mafunzo baadae wanakupa mitaji ya biashara. Hufanyi na kulipwa hapo hapo sio kazi ni unaenda kujifunza ili upate uzoefu na wanachuku vijana wadogo miongoni mwa ndugu au jirani ambao bado hawana majukumu.

Mbona hata Wachagga wanafanya sana hapa Tanzania. Mrombo anamchukua mdogo wake anakuja kuuza duka miaka kadhaa nae anampa mtaji na kumsimamia anaanzisha duka lake.
 
Back
Top Bottom