The Indomitable Lions: Simba Wasiofugika waliosumbua Afrika

The Indomitable Lions: Simba Wasiofugika waliosumbua Afrika

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Wale wapenzi wa soka mpo? wale mashabiki wa Cameroon ya miaka ile mpo? Njooni tuwakumbuke mashujaa hawa wa kikosi hiki kilichojizolea mashabiki mwanzoni mwa miaka ya 2000. Ulikuwa wapi wakati jamaa wakitamba? Share kumbukumbu zako hapa...
fd6368103afc5c06ee23be1ec32a7a60.jpg
 
Kikosi kilichotamba sio hiki, ni kile kilichocheza kombe la Dunia 1990, Argentina na Diego Maradona wao walilala goli Moja bila huku wao wakiwa mabingwa watetezi. Humo kikosini walikuwemo, golie Thomas Nkono, Emile Mbou Mbou, Stevine Tataw(captain) , Emmanuel Jorome Kunde, Mapacha Andre kana Biyik na Francois Oman Biyik, Paul Lois Mfede, Middle hatari Cyril Makanaki na Mkongwe Roger Milla. Siku hiyo Maradona na Cladio Cannigia waliloa licha ya Cameroon kucheza pungufu ya wachezaji wawili
 
Kikosi kilichotamba sio hiki, ni kile kilichocheza kombe la Dunia 1990, Argentina na Diego Maradona wao walilala goli Moja bila huku wao wakiwa mabingwa watetezi. Humo kikosini walikuwemo, golie Thomas Nkono, Emile Mbou Mbou, Stevine Tataw(captain) , Emmanuel Jorome Kunde, Mapacha Andre kana Biyik na Francois Biyik, Paul Lois Mfede, Middle hatari Cyril Makanaki na Mkongwe Roger Milla. Siku hiyo Maradona na Cladio Cannigia waliloa licha ya Cameroon kucheza pungufu ya wachezaji wawili
Umri baba yeye ndo anakumbuka hao WA 1990 si kosa lake ingawa nao walisumbua Africa
 
Namwona Song beki aliyekuwa kisiki kabisa, indomitable lions = simba wasioshindika
 
Kikosi kilichotamba sio hiki, ni kile kilichocheza kombe la Dunia 1990, Argentina na Diego Maradona wao walilala goli Moja bila huku wao wakiwa mabingwa watetezi. Humo kikosini walikuwemo, golie Thomas Nkono, Emile Mbou Mbou, Stevine Tataw(captain) , Emmanuel Jorome Kunde, Mapacha Andre kana Biyik na Francois Biyik, Paul Lois Mfede, Middle hatari Cyril Makanaki na Mkongwe Roger Milla. Siku hiyo Maradona na Cladio Cannigia waliloa licha ya Cameroon kucheza pungufu ya wachezaji wawili
mpaka pepe kale akawatungia wimbo mamaeeeeeee
 
Kikosi kilichotamba sio hiki, ni kile kilichocheza kombe la Dunia 1990, Argentina na Diego Maradona wao walilala goli Moja bila huku wao wakiwa mabingwa watetezi. Humo kikosini walikuwemo, golie Thomas Nkono, Emile Mbou Mbou, Stevine Tataw(captain) , Emmanuel Jorome Kunde, Mapacha Andre kana Biyik na Francois Biyik, Paul Lois Mfede, Middle hatari Cyril Makanaki na Mkongwe Roger Milla. Siku hiyo Maradona na Cladio Cannigia waliloa licha ya Cameroon kucheza pungufu ya wachezaji wawili
Ni mechi inayokumbukwa jinsi Cameroon walivyotumia mbinu, nguvu na ustadi mkubwa sana wa kuwadhibiti mabingwa watetezi.
 
Lakini walitolewa na england kwenye robo fainali kwa zengwe goli lilifungwa na Gary lineker iliuma sana
England nae akaenda kufa nusu fainali kwa Germany.

Na moja ya tukio la kukumbukwa katika Kombe la Dunia la mwaka 1990 ni Paul Gascoine " Gazza " alipotoa machozi mara baada ya kupata kadi ambayo ingemfanya akose Fainali ya Kombe la Dunia endapo England kama wangemfunga Ujerumani lakini bahati haikuwa yao.
 
Ilikuwa balaa hapo,ndiefi,ligobert song r.i.p macvivian foe r.i.p ,samwel etoo,jeremi njitap n.k ilikuwa balaa
 
England nae akaenda kufa nusu fainali kwa Germany.

Na moja ya tukio la kukumbukwa katika Kombe la Dunia la mwaka 1990 ni Paul Gascoine " Gazza " alipotoa machozi mara baada ya kupata kadi ambayo ingemfanya akose Fainali ya Kombe la Dunia endapo England kama wangemfunga Ujerumani lakini bahati haikuwa yao.
Jaques song 'oo, jules onana, Thomas libih, Jean claud pagal, alphonse yombi hiyo cameroon ya ukweli
 
Back
Top Bottom