The Inner voice: Sauti ndogo iliyo ndani mwetu ikitueleza kusudi la maisha yetu

The Inner voice: Sauti ndogo iliyo ndani mwetu ikitueleza kusudi la maisha yetu

Wanna challenge you!

Nitaanza hivi ili uelewe swali langu..
Kama 1+1=2 nikikuambia utafute usahihi wa hiyo hesabu hapo utanieleza kila alama imesimama kama nini.. ndio maana jibu lake likawa hilo kama linavyoonekana..

sasa kwa kutumia formula Kama hiyo nielezee nini usahihi wa wewe kuandika kuwa "Mungu katuumba ili tumwabudu na kumtumikia"....???



Kisha nieleze usahihi wa swala lako Ni kivipi kuwe na lengo la maisha(sisi kuishi)...??

Nasubiri majibu..
Hyu aamini mungu hyu
 
Hiyo sauti huwezi isikia kama huna ukaribu na Mungu...
Ni ukweli kabisa,na ukitaka kujua uhusiano wako naMungu uko vipi. Ukitaka kufanya jambo ambalo sio zuri wala roho haikusuti (Feeling Guilty).
 
Ni ukweli kabisa,na ukitaka kujua uhusiano wako naMungu uko vipi. Ukitaka kufanya jambo ambalo sio zuri wala roho haikusuti (Feeling Guilty).
Yani ukitaka kujua unauhusiano mzuri na Mungu fanya jambo lisilo zuri Roho itavyokusuta na amani inatoweka mpaka uombe Toba ya kweli ndio unakuwa sawa.
 
Yani ukitaka kujua unauhusiano mzuri na Mungu fanya jambo lisilo zuri Roho itavyokusuta na amani inatoweka mpaka uombe Toba ya kweli ndio unakuwa sawa.
Hua nikijisikia hivyo sikanyagi kanisani. Nasikia kama wote wananitazama mimi
 
Back
Top Bottom