Wajifunze kuwa smart , taratibu za kikatiba zisiyumbishwe na maneno ya watu mtandaoni , walichokuwa wanaficha kuhusu Hali ya Afya ya Raisi ni nini sasa , hata kilichomuua raisi nafkri ni Ile Nia ya kuwaoutclass wanaompinga kwamba Aumwe kimya kimya apone kimya kimya atokee kukanusha tetesi hvyo watu wamshangilie , na imegharimu uhai wa Raisi , so sad Kwa kweli...
Mtu kaumwa , kazidiwa pandisha ndege peleka hospital za kibabe duniani huko akafe mikononi mwa madaktari bingwa au apone .... Kujifungia fungia ndani hamna kitu aisee kisa unaogopa watakucheka sababu ya misimamo yako aaaah