Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Itakuwa kafa ghafla,halafu uongo wanausemea kwenye nyumba za ibadaHalafu walikuwa wanadai eti wameongea naye?
Hivi alikuwa kwenye hali ya kuweza kuongea na watu kweli au walikuwa wanatudanganya tu?
Hahaa...why stick to English?Well said, Nyani Ngabu. Stick to eng if u wanna have a meaningfull conversation.
Watu wamedata ndugu...hii ni stage ya kuongea mwenyewe barabarani...ni kuwasamehe tu.hivi umeelewa kweli kilichoandikwa??? mbona unawaza mbali sana, yaani akili yako haipo kabisa kwenye hii post
Mkuu nakuunga mkono asilimia 20,000....eti Raisi anaenda kutibiwa hospital za uchochoroni kisa hawataki watu wajue kuwa anaumwa....ujinga mtupu. Kwea pipa nenda kwa wataalamu wa dunia huko...ukipona heri ukifa basi ila tunasema rais kafia kwenye mikono ya wababe wa dunia..siyo Mzena...Yaani nimekerekq Sana japo nilikuwa simpendi kabisa Jiwe ila nimejijuta tu nimekerekq balaa...yaani Rais wa nchi anakufa Kama Kuku???Wajifunze kuwa smart , taratibu za kikatiba zisiyumbishwe na maneno ya watu mtandaoni , walichokuwa wanaficha kuhusu Hali ya Afya ya Raisi ni nini sasa , hata kilichomuua raisi nafkri ni Ile Nia ya kuwaoutclass wanaompinga kwamba Aumwe kimya kimya apone kimya kimya atokee kukanusha tetesi hvyo watu wamshangilie , na imegharimu uhai wa Raisi , so sad Kwa kweli...
Mtu kaumwa , kazidiwa pandisha ndege peleka hospital za kibabe duniani huko akafe mikononi mwa madaktari bingwa au apone .... Kujifungia fungia ndani hamna kitu aisee kisa unaogopa watakucheka sababu ya misimamo yako aaaah
I bet many details were correct!! Ikiwa walidanganya mchana kweupe, tena mbele ya wananchi, nini kitawazuia kudanganya kwa yale yaliyosemwa na Samiah Suluhu usiku uliopita!! Kama issue ya Mzena, watu walishaongea tangu last week kwamba Mheshimiwa hayupo Nairobi wala Uchina bali yupo Mzena!!! Na Kama Mama Samiah aliweza kutueleza "vimafua mafua vya hapa na pale" jana wasingeshindwa kusema kwamba Mheshimiwa kafa kwa ugonjwa wa moyo!!Ilisikitisha kuona serikali ikishindana na tetesi za mtandaoni ambazo hatimaye zimekuja kudhihirika zilikuwa za kweli.
Watu wa Mtandaoni ambao kimsingi ndo waliokuwa wanatupatia taarifa za hali ya marehemu Rais Magufuli [hata kama kila detail haikuwa sahihi], wamejiongezea heshima ya kuaminika na watu ilhali serikali ikipoteza uaminifu.
I can’t even argue with that....could very well be true!I bet many details were correct!! Ikiwa walidanganya mchana kweupe, tena mbele ya wananchi, nini kitawazuia kudanganya kwa yale yaliyosemwa na Samiah Suluhu usiku uliopita!! Kama issue ya Mzena, watu walishaongea tangu last week kwamba Mheshimiwa hayupo Nairobi wala Uchina bali yupo Mzena!!! Na Kama Mama Samiah aliweza kutueleza "vimafua mafua vya hapa na pale" jana wasingeshindwa kusema kwamba Mheshimiwa kafa kwa ugonjwa wa moyo!!
Problem is not kutoa taarifa; Utaratibu unasemaje kuhusu kutoa taarifa? hapo nadhani ndio shida; Hata hao waliokamatwa watabanwa hapoUkitoa taarifa unakamatwa hata kama ni kweli.
BalaaNchi iliyodai imeishinda Korona, na sasa Korona inaenda kuua Safu yote ya uongozi wa juu wa nchi , naskia viongozi wa juu ambao hawaonekani onekani wapo Hoi vitandani .... Ifikie hatua waache ushamba , Taifa linakuwa kituko na mithali Kwa walimwengu
Problem is not kutoa taarifa; Utaratibu unasemaje kuhusu kutoa taarifa? hapo nadhani ndio shida; Hata hao waliokamatwa watabanwa hapo
Absolutely...So bizarre!
Just check the comments on your previous post " fixed "Hahaa...why stick to English?
Utawabana ili iweje Sasa....mtu kashafariki unawabana ili isaidie nn Sasa...umungu mtu ndio shida hapa...hata watoa taarifa rasmi nadhani wakisita kufanya hvyo wakiogopa kwamba mh akipona wanaweza poteza nafasi zao kwa kutoa taarifa kuwa mkuu wa kaya anaumwa.Problem is not kutoa taarifa; Utaratibu unasemaje kuhusu kutoa taarifa? hapo nadhani ndio shida; Hata hao waliokamatwa watabanwa hapo
Kaka Problem sio uongo au Ukweli; Problem ni utoaji wa taarifa; Inawezekana PM na VP wao ni subordinate wa karibu zaidi na mzee; Hivyo kumtolea taarifa, kusema kwamba Rais kasema ivi na hivi hiyo ni kawaida maana wanamwakilisha; Ila mwenzangu na mimi wewe nani amekupa usemaji???Mbona wasibanwe kwanza VP na PM kwa kusema UONGO?
Rais ni mtumishi wa wananchi. Kila mwananchi ana haki na uhalali wa kuhoji uwepo wa rais.Kaka Problem sio uongo au Ukweli; Problem ni utoaji wa taarifa; Inawezekana PM na VP wao ni subordinate wa karibu zaidi na mzee; Hivyo kumtolea taarifa, kusema kwamba Rais kasema ivi na hivi hiyo ni kawaida maana wanamwakilisha; Ila mwenzangu na mimi wewe nani amekupa usemaji???
Hapo ndo shida
Kaka Mkubwa Ishu sio Kuhoji kwenye hiyo maelezo yangu; Ishu wametoa taarifa; Ambazo Jeshi la Polisi walisema ni Uzushi; Wengi walikuwa wanahoji; Ila kuna watu walikuwa wanaongea kwamba amekufa etc. Hii ndo concern yangu; hata mimi japo nipo mbali lakini nilikuwa natamani kufahamu alipo.Rais ni mtumishi wa wananchi. Kila mwananchi ana haki na uhalali wa kuhoji uwepo wa rais.
Kayafa kafa![emoji1][emoji1][emoji1]Shangazi mimi nina furaha ya ajabu,kwa mara ya kwanza leo nimejikuta napiga Komoni baada ya Bia,Konyagi na K-vant kushindwa kufua dafu!Kwa mara ya kwanza katika historia ya maisha yangu furahaa imeninyima usingizi,leo usiku kucha sijaweza kulala.Nilikuwa macho kodo![emoji23]