The Leopard Man defended Africa from coloniers

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011

Wafalme, Machifu na viongozi wengine walipata ridhaa ya mizimu kabla ya kupata nafasi ya kuongoza. Licha ya kuwa na bunduki na silaha za kivita lakini Wazungu walipitia mapingamizi mengi kabla ya kufanikiwa kuitawala Afrika.

Viongozi wa jadi walipokea amri na maelekezo kutoka kwa mizimu. Kuna baadhi ya jamii bado wanaongozwa kwa mitindo huu, unaitwa Secret Society. Wako wanaoutumia kulinda biashara zao na kupata utajiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…