Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,508
- 2,619
Huo ni uongo.Vidole vipo kwenye viatu,wewe ulivionaje kama vimenyooka?The lie game.
Ni mchezo wa uongo au kudanganyana, kulishana matangopori ππ.
Lengo ni kuenjoi tu na si vinginevyo.
Comment kitu Cha uongo then utajibiwa Cha uongo zaidi.
Mfano;-
"Nilipokuwa nasoma walimu waliniogopa kiasi kwamba wakitaka kuongea na mimi hunyoosha kwanza vidoleππ"
Ni kidole tumbo yani appendixHuo ni uongo.Vidole vipo kwenye viatu,wewe ulivionaje kama vimenyooka?
Another ascending true-lie!Kimeonwaje kikinyooka?Ni kidole tumbo yani appendix
Mkuu we mbona unamaswali ya kichawachawa hivi upo sawa kweli..?Another ascending true-lie!Kimeonwaje kikinyooka?
Hata swali lako lipo kikungunikunguni hivi.Una akili zinazofanya kazi vizuri kweli?Mkuu we mbona unamaswali ya kichawachawa hivi upo sawa kweli..?
Sasa hivi Kuna mtu atapigwa ban! Tuyaache haya maana umekaa kama nyumbu!Hata swali lako lipo kikungunikunguni hivi.Una akili zinazofanya kazi vizuri kweli?
Another beatiful lie!Huogopi moto au hauamini kama kuna moto?Hebu washa moto wa gesi halafu uut..m.e kama hauuogopi!Acha kuogopa vitu vya kilaghai hakuna cha moto Wala nini
ππ Huna akili weweAnother beatiful lie!Huogopi moto au hauamini kama kuna moto?Hebu washa moto wa gesi halafu uut..m.e kama hauuogopi!
Bado.Mpaka unywe smart gin au gongo ya mihogo/ubhurandi!Hahaha! Nishaelewa
Gin kunywa mwenyewe hapa ni cocktail tu vitu vya moito,caipirinha na margaritaBado.Mpaka unywe smart gin au gongo ya mihogo/ubhurandi!
Acha biashara ya kusafirisha ndege kupeleka Uturuki bila "siva" utapata hasara kulipalipa nauli za uber ya mabasi makubwa.Hasa kwenye meli bandarini ugongapo "passport-size"!Siku ya kwanza naenda Uturuki nimefika tu bandarini ile ndege imefika nataka kupanda kumbe nimebeba tu siva yangu haijagongea passport ikabidi nirudi tu home nikaita bodaboda ila kwenye ile bajaji nikakutana na afisa mmoja wa ubalozi akaniambia nimpe kitu kido akanigongea visa chap nikaomba ile uber irudi airport chap ile nafika tu pale stand nakuta lile bus nalo ndio linatoka ikabidi tu niendelee kubaki Uturuki kwa week mbili.
It's a high in hay!Cocktail umechanganya kimpumu,wanzuki na boha?Ni bora ungekula masangu kwa juisi ya bamia.Gin kunywa mwenyewe hapa ni cocktail tu vitu vya moito,caipirinha na margarita
Bado sana wewe...πIt's a high in hay!Cocktail umechanganya kimpumu,wanzuki na boha?Ni bora ungekula masangu kwa juisi ya bamia.
Bado nini?Kula nsansa,nswalu,matobholwa,kansolele au kunywa mbowoto?Bado sana wewe...π
Nsansa na nswalu nakubali hayo mengine pambanaBado nini?Kula nsansa,nswalu,matobholwa,kansolele au kunywa mbowoto?
Huu nao ni uongo.Utakulaje nsansa na nswalu bila ugali?Gotchaaaa!Nsansa na nswalu nakubali hayo mengine pambana
Umesahau kwamba kuna macho ya rohoni?Another ascending true-lie!Kimeonwaje kikinyooka?