Jamaa ana ufala fulani hivi,sijui kabalehe juzi.We jamaa ni mpumbavu kiwango cha lami
Jana umepost upo songea unatukana walimu
Leo asubuh umepost upo Moshi mbio za kilimarathon
Leo jion umepost upo kahama
Shenz kabsaaa
Chizi weweJamaa ana ufala fulani hivi,sijui kabalehe juzi.
Niliondoka na gari yangu saa Tatu usiku JanaKatika sehemu ambazo ratiba zake za ndege hazi connect kirahisi ni huko songea
Labda uwe unatumia ndege za kukodi , lakini hakuna namna unaweza fika khama same day kutoka songea kwa atcl
Hiyo ni togwa mzeeDuuuuh hhhahaha hii sio cocktail ni pombe za kienyeji (mataputapu) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Obviously Wewe ni mshamba kuliko unavyojijua tena ni limbukeni, yaani malapulapu ya ng'ombe wa kulima,sembe,na kabeji ndiyo umeona vya kupost? Dhiki za kongwa na mpwapwa zimekufanya where we call hell, you call it paradise [emoji24][emoji1787][emoji1787][emoji137][emoji137]Japo kuwa nimekosa cocktail wengi hili neno ni geni ila nimepata kinywaji changu pendwa cha Windhoek za Kopo na nyama laini kama sufi, nyama tamu ya Moto
Kahama nzima ukitaka kurelax nenda the magic hutajutia ila bei zao ni nzito saltbae ajipange, bei za Moto. Ila ngoreneni sana View attachment 2528734View attachment 2528735
Njoo tupate cocktailObviously Wewe ni mshamba kuliko unavyojijua tena ni limbukeni, yaani malapulapu ya ng'ombe wa kulima,sembe,na kabeji ndiyo umeona vya kupost? Dhiki za kongwa na mpwapwa zimekufanya where we call hell, you call it paradise [emoji24][emoji1787][emoji1787][emoji137][emoji137]
Hujui kitu, mock tail haileweshi ila cocktail unalewa maana ni pombe mchanganyikoCocktail ni aina ya kinywaji kinachokua kimechanganywa zaidi ya kimoja ambacho hulewesha na Mocktail ni mchanganyiko wa vinywaji visivolewesha na vyote hivo hua na muonjo tofauti tofauti
Kwani yeye kaandikaje mkuu😅😅🤭...Hujui kitu, mock tail haileweshi ila cocktail unalewa maana ni pombe mchanganyiko
[emoji23][emoji23][emoji23]We jamaa ni mpumbavu kiwango cha lami
Jana umepost upo songea unatukana walimu
Leo asubuh umepost upo Moshi mbio za kilimarathon
Leo jion umepost upo kahama
Shenz kabsaaa
Mimi sio mwalimu mkuu, afu pesa kwangu ni kusimaItakua ni tarehe za MSHAHARA mwalimu tumia jasho lako
Ulikua unaonekana mwenye akili ila sasa kufikia hapa IQ inapimwa kupitia unayoandika OVYO TENA MAVIIIIIIIIIIIINjoo unfre kama mm ni shoga