The making of march 10: JF newest couple! Demiss n Jr

View attachment 711368

Mnataka mkamtoe roho yule wa Mwanza

Mwaka huuu kuna watu watajinyonga kwa kweliiii

Mnitumie mapicha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Tena nitayatuma kwa Mr miller

Oh noooo.

Sie hatuna Time na watu wengine.

Tunaenda kula raha zetu wenyewe.

Hatuko katika business za kutoa watu roho.

Mzigua all the way baby!!!
 
Haters watajimurder. I love you too NN Cc Demiss
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hakuna mwanaume atakubali Mitala labda one night stand ya mambembeee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hata haelewi one night stand.
 
Chizi wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3]wewe ndo utakuwa wa kwanza kuwa na mitala ya kiumeee

Mr Miller

Mtu chake

Shida na raha

Mwenyekiti Ngabu[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Kwanza wengine wa nini bby na muda umeisha. Sisi ni [HASHTAG]#TeamEachOther[/HASHTAG]

Hivi bebi unayo Alexa nyumbani?

Hii kitu ni mwake sana.

Kama huna nambie...maana baadae naenda dukani. Nitakununulia.
 
Hahahaaaaa dahh. Ila unampamba kwa kuotea au unamfahamu kweli?? Mie namfahamu vyedi hizo sifa wala hujakosea kasoro za shule ndo sijui ila kwa urembo tuu mashalaahh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…