The Man from Rubambangwe was right not to collaborate with hypocrites politicians for the interest of the Nation

The Man from Rubambangwe was right not to collaborate with hypocrites politicians for the interest of the Nation

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Kuna haja gani kuwa na siasa za kisanii huku wananchi wanamatatizo ya maji, afya elimu na miundombinu?

Inasaidia nini kuwa karibu na wananasiasa ambao wataonyesha kuwa mna mahusiano nao mazuri kisanii huku kuna ufisadi unaowagharimu wananchi wanyonge?

Kwani siasa zinataka kuwe na collusion ili kubariki ufisadi, utapeli na siasa za kilaghai?
 
Wewe una roho ya uovu ndani yako. Unashambulia kila jema linalofanywa ktk nchi hii. Tanzania si mbuga ya wanyama, ni nchi inayohitaji siasa za kiistaarabu, kuthaminiana na kuheshimiana. Haya yakifanyika yanakuuma sana. Itabidi utafute nchi yako ya mafarakano. Huko utakuwa na amani ya moyo.
 
Kuna haja gani kuwa na siasa za kisanii huku wananchi wanamatatizo ya maji, afya elimu na miundombinu?

Inasaidia nini kuwa karibu na wananasiasa ambao wataonyesha kuwa mna mahusiano nao mazuri kisanii huku kuna ufisadi unaowagharimu wananchi wanyonge?

Kwani siasa zinataka kuwe na collusion ili kubariki ufisadi, utapeli na siasa za kilaghai?
Hivi katika historia ya nchi yetu kuna kipindi kiliwahi kutokea uongozi wa kisanii kama ilivyokuwa wakati wa Mzee wa Rubambangwe? Labda tujikumbushe japo kwa uchache. Mikopo ya hatari iliyokopwa ktk mabenki ya biashara huku tukiaminishwa kuwa nchi yetu ni "Donor county", kupora korosho za wakulima, kupora fedha kwenye bureau de change Arusha, kupora fedha za rambirambi huko Kagera, kupora watumishi madaraja yao na kuondoa annual salary increments kinyume cha Sheria.

Kwa ushahidi huo mdogo, Mzee wa Rubambangwe utamfananisha na nani kwa usanii na utapeli?

Ni vyema kumuombea apumzike kwa amani huko alipo badala ya kutonesha majeraha yaliyotokana na bingwa wa sanaa za maonesho kutoka Rubambangwe.
 
Kuna haja gani kuwa na siasa za kisanii huku wananchi wanamatatizo ya maji, afya elimu na miundombinu?

Inasaidia nini kuwa karibu na wananasiasa ambao wataonyesha kuwa mna mahusiano nao mazuri kisanii huku kuna ufisadi unaowagharimu wananchi wanyonge?

Kwani siasa zinataka kuwe na collusion ili kubariki ufisadi, utapeli na siasa za kilaghai?
Kwani hayo maji na afya yanaletwa na Wasanii au Wanasiasa?

Hapa inabwabwaja kila siku siasa si ukaimbe Song huko na akina Konde Boy?
 
Kuna haja gani kuwa na siasa za kisanii huku wananchi wanamatatizo ya maji, afya elimu na miundombinu?

Inasaidia nini kuwa karibu na wananasiasa ambao wataonyesha kuwa mna mahusiano nao mazuri kisanii huku kuna ufisadi unaowagharimu wananchi wanyonge?

Kwani siasa zinataka kuwe na collusion ili kubariki ufisadi, utapeli na siasa za kilaghai?
Eti Rubambagwe🤣🤣🤣
Sukumq Gang mnateseka sana.
 
Kuna haja gani kuwa na siasa za kisanii huku wananchi wanamatatizo ya maji, afya elimu na miundombinu?

Inasaidia nini kuwa karibu na wananasiasa ambao wataonyesha kuwa mna mahusiano nao mazuri kisanii huku kuna ufisadi unaowagharimu wananchi wanyonge?

Kwani siasa zinataka kuwe na collusion ili kubariki ufisadi, utapeli na siasa za kilaghai?
Pole martin umekosa content rudi kijijini hakuna kesi ya kurekodi tena. Vijana tafuteni kazi sio kuishi kiujanja
 
Kuna haja gani kuwa na siasa za kisanii huku wananchi wanamatatizo ya maji, afya elimu na miundombinu?

Inasaidia nini kuwa karibu na wananasiasa ambao wataonyesha kuwa mna mahusiano nao mazuri kisanii huku kuna ufisadi unaowagharimu wananchi wanyonge?

Kwani siasa zinataka kuwe na collusion ili kubariki ufisadi, utapeli na siasa za kilaghai?
Wewe unakaribia kufa bila kupigwa risasi Wala kunyweshwa sumu. Kwa uandishi wako Nyankurungu2020 sikuoni ukifika 2024. Maana uko highly depressed. Lazima umfuate Magufuli huko aliko frustration yako ni ya kiwango cha hatari
 
Hivi katika historia ya nchi yetu kuna kipindi kiliwahi kutokea uongozi wa kisanii kama ilivyokuwa wakati wa Mzee wa Rubambangwe? Labda tujikumbushe japo kwa uchache. Mikopo ya hatari iliyokopwa ktk mabenki ya biashara huku tukiaminishwa kuwa nchi yetu ni "Donor county", kupora korosho za wakulima, kupora fedha kwenye bureau de change Arusha, kupora fedha za rambirambi huko Kagera, kupora watumishi madaraja yao na kuondoa annual salary increments kinyume cha Sheria.

Kwa ushahidi huo mdogo, Mzee wa Rubambangwe utamfananisha na nani kwa usanii na utapeli?

Ni vyema kumuombea apumzike kwa amani huko alipo badala ya kutonesha majeraha yaliyotokana na bingwa wa sanaa za maonesho kutoka Rubambangwe.
Acha kupotosha umma, wananchi waliona kwa macho mazuri aliyofanya.
 
Mwanasiasa akishahakikishiwa ulaji ye na watoto zake basi inakuwa imeisha yao. Nyie wengine mtaendelea kuwa wapenzi mashabiki.
 
Kuna haja gani kuwa na siasa za kisanii huku wananchi wanamatatizo ya maji, afya elimu na miundombinu?

Inasaidia nini kuwa karibu na wananasiasa ambao wataonyesha kuwa mna mahusiano nao mazuri kisanii huku kuna ufisadi unaowagharimu wananchi wanyonge?

Kwani siasa zinataka kuwe na collusion ili kubariki ufisadi, utapeli na siasa za kilaghai?
Kama ufisadi gani? Huu au? 👇

Screenshot_20220520-171050.jpg
 
Back
Top Bottom