The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Propaganda za vibaraka wa mabeberu
Hii bangosha unasema? 👇Propaganda za vibaraka wa mabeberu
Wewe ni mpambe wa mafisadi na mabeberu. Wamebakiza kukupa mimba tu uzae.
Umemlipa Membe?Kuna haja gani kuwa na siasa za kisanii huku wananchi wanamatatizo ya maji, afya elimu na miundombinu?
Inasaidia nini kuwa karibu na wananasiasa ambao wataonyesha kuwa mna mahusiano nao mazuri kisanii huku kuna ufisadi unaowagharimu wananchi wanyonge?
Kwani siasa zinataka kuwe na collusion ili kubariki ufisadi, utapeli na siasa za kilaghai?
Sasa ulitaka niwe mpambe wa maskini,wajinga na wajamaa Ili nifaidike na nini?Wewe ni mpambe wa mafisadi na mabeberu. Wamebakiza kukupa mimba tu uzae.
Tatizo sio kuteuliwa na nani, tatizo unatumika na nani? Huyo aliyemteua ndio anayemtumia kwa sasa?Inapotoshwa na CAG au na nani sasa? Huyo CAG aliteuliwa na nani? Tena hapo kawastahi Sana tunayajua mengi maovu.
Ulitaka amtumikie nani?Alipoteuliwa na Jiwe alikuwa anamtumikia nani?Tatizo sio kuteuliwa na nani, tatizo unatumika na nani? Huyo aliyemteua ndio anayemtumia kwa sasa?
Check your passage title..Kuna haja gani kuwa na siasa za kisanii huku wananchi wanamatatizo ya maji, afya elimu na miundombinu?
Inasaidia nini kuwa karibu na wananasiasa ambao wataonyesha kuwa mna mahusiano nao mazuri kisanii huku kuna ufisadi unaowagharimu wananchi wanyonge?
Kwani siasa zinataka kuwe na collusion ili kubariki ufisadi, utapeli na siasa za kilaghai?
Ana sonona 😂😂,Check your passage title..
It's absolutely off the contents because it doesn't answer the questions;
✓ Who is that man from Rubambangwe?
✓ Where/what is Rubambangwe?
✓ Who are those hypocrite politicians?
✓ He was not right to callaborate with those hypocrite on what matters?
## If your article would have answered these questions correctly, the discussion would be simple and clear..
## But as it is for now, majority of the discussion participants are hitting on the air. They don't know what is being discussed. You have succeeded fooling them...!!
Labda wewe ni mgeni hapa Tanzania.Check your passage title..
It's absolutely off the contents because it doesn't answer the questions;
✓ Who is that man from Rubambangwe?
✓ Where/what is Rubambangwe?
✓ Who are those hypocrite politicians?
✓ He was not right to callaborate with those hypocrite on what matters?
## If your article would have answered these questions correctly, the discussion would be simple and clear..
## But as it is for now, majority of the discussion participants are hitting on the air. They don't know what is being discussed. You have succeeded fooling them...!!
## The Swahili people say, "..umefanikiwa kuleta umbea usio na hoja wala facts na wengi wameingia kwenye mtego wako wa kujadili umbea..."
You are really Nyankurungu2020 !!!
Kwani wageni hawastahili kuwa enlightened na kinachoendelea kwa ufasaha na usahihi..?Labda wewe ni mgeni hapa Tanzania.
Hakuna mazuri aliyofanya huyo pimbi wenu wa Chato. Ni majukumu ya kawaida tu ya uRais zaidi ameua watu na kuwajeruhi bila sababuAcha kupotosha umma, wananchi waliona kwa macho mazuri aliyofanya.
The subject matter is very clear and well presented.Kwani wageni hawastahili kuwa enlightened na kinachoendelea kwa ufasaha na usahihi..?
Jukwaa hili ni la wote wageni kwa wenyeji, au siyo..?
Hoja na maana yangu ilikuwa ni hii;
Kwamba, ukianzisha mjadala [mada] ili hadhira ijadili, basi iwe presented in a simple and clear language kwa kila mtu kuelewa ili ashiriki kwenye mjadala huo..
Lakini ulichokifanya wewe umetumia mafumbo tu kana kwamba umewalenga rafiki zako fulani tu wanaoyajua hayo mafumbo..!
It's okay for some reasons in special curmustances, but not always..,
Yes, I am not..May be you are not familiar with Tanzanian politics