The Man from Rubambangwe was right not to collaborate with hypocrites politicians for the interest of the Nation

Umemlipa Membe?
 
Check your passage title..

It's absolutely off the contents because it doesn't answer the questions;

βœ“ Who is that man from Rubambangwe?

βœ“ Where/what is Rubambangwe?

βœ“ Who are those hypocrite politicians?

βœ“ He was not right to callaborate with those hypocrite on what matters?

## If your article would have answered these questions correctly, the discussion would be simple and clear..

## But as it is for now, majority of the discussion participants are hitting on the air. They don't know what is being discussed. You have succeeded fooling them...!!

## The Swahili people say, "..umefanikiwa kuleta umbea usio na hoja wala facts na wengi wameingia kwenye mtego wako wa kujadili umbea..."

You are really Nyankurungu2020 !!!
 
Ana sonona πŸ˜‚πŸ˜‚,

Ujue hao wajinga waliinishwa na yule kichaa wao kwamba kila aliyetolewa Kwenye wadhifa na Mwendazake alikuwa mwizi na fisadi kumbe dhalimu alikuwa anapanga safi yake ya pambio na kubadili Katiba..

Matokeo yake kajifia huko waliokuwa hawakubaliani na utaratibu wake nao wanapanga safu zao,sasa utasikia makelele ooh watu wa JK wanarudi and such nonsense..

Acha wafure mpaka wajinyonge.
 
Labda wewe ni mgeni hapa Tanzania.
 
Labda wewe ni mgeni hapa Tanzania.
Kwani wageni hawastahili kuwa enlightened na kinachoendelea kwa ufasaha na usahihi..?

Jukwaa hili ni la wote wageni kwa wenyeji, au siyo..?

Hoja na maana yangu ilikuwa ni hii;

Kwamba, ukianzisha mjadala [mada] ili hadhira ijadili, basi iwe presented in a simple and clear language kwa kila mtu kuelewa ili ashiriki kwenye mjadala huo..

Lakini ulichokifanya wewe umetumia mafumbo tu kana kwamba umewalenga rafiki zako fulani tu wanaoyajua hayo mafumbo..!

It's okay for some reasons in special curmustances, but not always..,
 
Acha kupotosha umma, wananchi waliona kwa macho mazuri aliyofanya.
Hakuna mazuri aliyofanya huyo pimbi wenu wa Chato. Ni majukumu ya kawaida tu ya uRais zaidi ameua watu na kuwajeruhi bila sababu
 
The subject matter is very clear and well presented.

May be you are not familiar with Tanzanian politics
 
Tungekuwa na wachambuzi wazuri, leo tungekuwa tunajadili kwanini katika kikao kile hakukuwepo na MR na WM?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…