The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Huyu na Ake ndo mafaita pale kwa sasa.
 
Sasa sahivi hayupo kwenye form bora twende na bishoo tu.
 
Rico yupo vizuri Ila uzoefu wa walker kwenye mechi kama hizi ni muhimu.
Rico lewis ni mzuri kuliko walker kwenye kuhold mipira na ni pressure resistant. Hicho ni kitu muhimu kwenye build up.

Labda Kama kipara aamue kumkamia son ndio atamuweka walker.
 
Rico lewis ni mzuri kuliko walker kwenye kuhold mipira na ni pressure resistant. Hicho ni kitu muhimu kwenye build up.

Labda Kama kipara aamue kumkamia son ndio atamuweka walker.
Kila nikikumbuka namna Rico alivyopwaya siku ya arsenal naona tunahitaji experienced fullback kupambana na mshikemshike wa son.
 
Kila nikikumbuka namna Rico alivyopwaya siku ya arsenal naona tunahitaji experienced fullback kupambana na mshikemshike wa son.
Hata Rico lewis ni mkabaji mzuri tu labda kama humfatilii.

Tunahitaji kucontrol game zaidi na lewis ndio anafaa hapo.
 
Inabidi tuache kupigapiga mipira hovyohovyo na kross kumtafuta haaland.

Hapo tutakuwa na possibility kubwa ya kupoteza mipira na kupigwa counter attack.

Inabidi kuwa na accuracy kubwa kwenye passing na efficient kwenye Ku hold mipira.

Tunahitaji extra body kwenye box atakayekuwa ana link up na midfield ili kurahisisha smooth attacking progress badala ya Ku rush mipira kwa haaland au kupiga kross zisizo na maana.
 
Saizi spurs washatujulia ,hawapaki bus Tena ,Wana turn up na kupanua uwanja ,ndio maana mara nyingi wanatufunga ....

Mikimbio ya son na Kane ndio ya kuangalia ....

Walivotutangulia goli mbili mara ya kwanza haikuwa bahati mbaya hapani ,waliturn up ,wakapanua uwanja wakawa wanamark man -man ,wakakabia juu, ederson akawa anakosa wa kumpigia mpira .............

Cha mhimu ni kuhakikisha viungo wanakuwa wanyumbulivu Sana ,spurs watakuja ni mbinu hio hio ,ya kucheza mpira ,sio kupark bus kama zamani ...
 
Mechi ilopita walitupress kwenye half yetu wakatugonga goli za chapchap.

Wanaweza wasitegemee kaunta pekeake.
 
Mechi ilopita walitupress kwenye half yetu wakatugonga goli za chapchap.

Wanaweza wasitegemee kaunta pekeake.
Spurs kilichowakaribisha golini kwetu ni sisi kukosa control ya mchezo..

-Tunahitaji kuwa pin kwenye half yao kwa kuhakikisha tunakuwa efficient kwenye build up.

- kufanya smooth progressing attacks ( kutokupiga mipira hovyohovyo kumtafuta striker)
Na hapa ndipo tunahitaji kdb kufanya kile alichokuwa anafanya msimu uliopita, kulink up midfield na attacking ( ndicho Alvarez alichokifanya kwenye mechi ya 4 : 2).
 
Ndomana natamani Leo Bernardo aanze maana huwa anacheza deep kusaidia flow ya mipira kuja juu kwa kina kdb.

Lewis nae ni baller mzuri kwaiyo atassidia kuongeza stability pale kati tifauti na walker me namuonaga kama mkamiaji tu.
 
Leo munapasuliwa na kutusafishia njia ya kupita.
Inaonekana hamuna nia ya kuongoza ligi, ni bora mutupishe vidume, tupambane na huyo shangazi yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…