The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Khvicha Kvaratskhelia inatakiwa tumnase huyu bonge moja la winga.
Scouts bado wanamcheki.
 
Kutokuwepo kwa laporte leo maana yake Akanji ataanza kama pep akiamua kuja na back 4.

Kukosekana kwa kdb kunaweza kumfanya pep akaja na front 2 ya Haaland & Alvarez kama alivyofanya kwenye mechi za spurs (hii itategemea na bernado atacheza nafasi ipi).
 
Akanji simuamini kabisa.

Anaweza kuanza na back 3, bernado akawa anarudi kucheza left back kama alivyofanya hizi mechi 3 zilizopita..

Akianza hivyo ndio itaruhusu Alvarez na Haaland kuanza pamoja..

3-1-4-2


...........Haaland...Alvarez



Grealish...Gundo...Rodri...Mahrez



...............Bernado



Ake.............Dias....... .....Walker


............. Ederson


Hapa bernado anakuwa anacheza kama hybrid deep playmaker-left back.
 
Ndio maana nimesema inategemea bernado atacheza nafasi ipi.
Akicheza kama attacking midfielder maana yake lazima aanze na back 4 ambayo lazima itamjumuisha na akanji..hapo ili alvarez aanze itabidi kati ya grealish au mahrez aanze benchi.
 
Huu mfumo wa kuanza na haaland na alvares huwa naona tunakuwa disjointed knoma.
 
Huu mfumo wa kuanza na haaland na alvares huwa naona tunakuwa disjointed knoma.
Huu ni mzuri kwa timu zinazofunguka kama leipzig, tunakuwa na strong presence kwe box la tim pinzani while at the same time tunakuwa compact defensively (Kama ikiwa ni ordinary back 4 badala ya hybrid back 3 kama hiyo juu).
 
Japo simkubali akanji ila ni bora tuje na back 4 leo maana leipzig wanacheza kwa kushambulia sana.
Bernado anakuwa anajisahau kwenye left back kwaiyo bora aanze ake ambaye anakuwa solid kuliko bernado.

Ni bora twende na basic 4-4-2


..........Haaland....Alvarez


Grealish...Gundogan...Rodri...Mahrez


Ake......Akanji.....Dias.....Walker


................Ederson
 
We are better with bernado on the pitch.
Tangu bernado amekuwa introduced kwenye hilo eneo, city tumekuwa tukitengeneza nafasi nyingi kuliko hapo awali.

Mechi ya nottingham japo tulidroo lakini tulitengeneza nafasi za kutosha ambazo kama tungezitumia, tungeshinda zaidi ya goli 5. Tuliucontrol mchezo kwa kiwango kikubwa sana. We did the same to villa.

Hata defensively bernado yuko vizuri hasa tukicheza na timu inayoshambulia (kama arsenal), muda mwingi anakuwa pinned kwenye left back kudeal na threat.
nottingham hawakuwa na threat ndio maana akawa bize kwenye CM role.
 
Mwamba una iman sana na bernado ila kumbuka ile ni uefa bro, haitakiwi kuwa na makosa makosa na kujisahau.
Leipzig sio nottingham wala aston villa.

Hofu yangu ni kwenye counter attacks bernado anakuwa off position na ukizingatia hana pace, tunakuwa exposed.

Ngoja tuone maana naona pep nae kamsifia kwenye hiyo position.
 
Carlos Borges.

Dogo yupo academy ana miaka 18.
Ana pace balaa, ni top scorer kwenye premier league 2 ana magoli 14 na assist 7 kwenye michezo 16.

Kwenye mashindano yote ana magoli 22 na assist 13 msimu huu.
Ni very aggressive golini.

Ana u-Sane flani ivi.
 
Kosi la ushindi hili hapa.

confirmed starting XI....4-3-3

Ederson
Walker
Dias
Akanji
Ake
Rodri
Bernado
Gundogan
Mahrez
Grealish
Haaland
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…