The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Haaland kafikisha gori 10 za Uefa Cl msimu huu.
Haaland kawa mchezaji wa tatu kufunga gori 5 katika mechi 1 Uefa Cl,sawa na Lionel Messi pamoja na Luiz Adriano.Tunasema hongera kwake ila asingetolewa pengine angeivunja record hii kwa upepo alokuwa nao leo.
 
Asee stones pass accuracy 100%.
Jamaa kwenye pasi huwa anajitahidi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…