The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Liverpool huko wanataka kwenda mahakamani baada ya Manchester city kupunguza idadi ya tickets kwa mashabiki wa Liverpool kwa 20%
Hawa huwa wanafanga fujo wakiwa uwanjani ,last game walimuumiza Dogo na shabikia wa man city ,mpaka kivuja damu na kupelekwa hospital ndio maana wakaamua kupunguza idadi ya mashabiki na wataweka uzio wa nyavu kati ya mashabiki wa Liverpool na city kwenye game ijayo .....
 
Man city na liverpool huwa ni double showdown unaambiwa, vita uwanjani na jukwaani.
 
Haaland kuna ripoti zinasema kwamba jeraha lake sio kubwa na amewithdraw kwenye timu ya taifa kama tahadhari tu ila man city medical staff bado hawajatoa taarifa official.
Itakuwa ni janja ya pep tu kutaka kujaribu kumweka mbali na majeraha katika kipindi ambacho anamuhitaji Sana

Sina uhakika sana kama ni kweli jamaa atakuwa na injury, nahisi ni precautions tu za bwana kipara
 
Alvarez ni promising striker ila Haaland anampiga gap kwenye baadhi ya maeneo.

Haaland ana pace kuliko Alvarez.

Ni more clinical kuliko Alvarez.

Ana strength & height ya kupambana na mabeki kwenye aerial balls.
Point yangu ilikuwa kwamba, hata Haaland akiumia, hatokua na impact sana sababu sio game influencer...

Engine ya city ipo kwenye midfield (de bruyne,rodri,gundogan/bernado,grealish)..kule mbele haaland yeye huwa ni kuweka tu mpira wavuni.

Alvarez anafanya mengi zaidi ya kuweka mpira wavuni, anaweza kuungana na timu kutengeneza shambulizi kwenye eneo la mid, sio free standing striker kama haaland.

Ndio, tunamuhitaji Haaland lakini hata asipokuwepo, Alvarez can do it.
 
Itakuwa ni janja ya pep tu kutaka kujaribu kumweka mbali na majeraha katika kipindi ambacho anamuhitaji Sana

Sina uhakika sana kama ni kweli jamaa atakuwa na injury, nahisi ni precautions tu za bwana kipara
Hiyo taarifa ya haaland kuwa injured ilitolewa na Norway wenyewe.
 
Haaland now yupo linked heavely na kwenda Real madrid, agent wake mwenyewe anapush sana hii inshu, haaland mwenyewe alitaka kwenda Madrid ni vile tu Madrid wali delay sababu walikuwa na Benzema.

Ni vyema aende tu klabu anayoipenda tubaki na La arana, Alvarez.
 
Itakuwa ni janja ya pep tu kutaka kujaribu kumweka mbali na majeraha katika kipindi ambacho anamuhitaji Sana

Sina uhakika sana kama ni kweli jamaa atakuwa na injury, nahisi ni precautions tu za bwana kipara
Sioni uhusika wa pep hapo sababu medical team ya Norway ndio walitoa statement.
 
Kivuli cha Haaland kinamfunika Alvarez linapokuja suala la gametime.
Huwa natamani Alva apate muda wa kutosha tuitumie full potential yake, by the way acha Tumalizie msimu hayo mengine yatafuata ila Haaland hana maisha marefu pale city kwa hali inavyoenda.
 
Madrid kulipa release clause ya haaland ni mpaka mwishon mwa msim ujao
 
I've got your point.
 
I don't like this.
Media sometimes zinaharibu mambo, stori za Haaland kwenda Madrid zimekuwa hyped na wakati ndio msimu wake wa kwanza pale etihad.
Wanamuondolea concentration.
 
I don't like this.
Media sometimes zinaharibu mambo, stori za Haaland kwenda Madrid zimekuwa hyped na wakati ndio msimu wake wa kwanza pale etihad.
Wanamuondolea concentration.
Yule baba yake ndio kirusi mkuu kwenye hii saga.
 
Leo ndio nimeamin kwanin pep kamtimua cancelo ...

Cancelo anajua mpira ila anadharau na kiburi cha hali ya juu ...

Huyu hatakiwi kurudi city hata Kwa namna yeyote ile ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…