The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Muda wa soka safi umewadia, muda ambao dunia nzima huwa inausubiri kwa hamu kwa ajili ya kuburudishwa na soka tamu kutoka kwa vijana wa pep, the cityzens.

5 minutes to go.
 
Mpaka sasa ni southampton ndio waliofanya shambulizi la maana, ,haaland pocketed as usual.
 
Kevin de bruyne has become the fastest premier league player to record 100 PL assists.
 
Soton wamejitahidi kukaza but mkubwa ni mkubwa tu
 
Nilijua Leo lazima haaland atapotezwa japo kafunga goli ila hasikiki kabisa. Kwa timu zinazopiga low block haaland huwa hasikiki.
 
Ubingwa wa city huu wanastahili kutokana na ubora na depth ya kikosi walichonacho tofauti na sisi Arsenal hatuna depth ya kikosi kiasi kwamba tunashindwa kufanya rotation ya kikosi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…