Agustin kun Aguero
JF-Expert Member
- Mar 22, 2023
- 532
- 641
Tumeshinda ndio lakini kuelekea UCL Match na bayern kuna mapungufu bado tunayo, COUNTER ATTACKS.
Kwenye mechi ya liverpool na ya jana tulikuwa tuna struggle sana kudefend counter attacks, tunakuwa exposed hasa kwa huu mfumo wa back three.
Kama soton wangekuwa na striker na winga mzuri, ile game tungekuwa na wakati mgumu sana.
Jana baada ya kuingia walker na kuanza kucheza back four unaona namna tulivyoanza kuwa comfortable & stable pale nyuma.
Tukienda na back three kwa bayern tunaweza kuadhirika.
Kwenye mechi ya liverpool na ya jana tulikuwa tuna struggle sana kudefend counter attacks, tunakuwa exposed hasa kwa huu mfumo wa back three.
Kama soton wangekuwa na striker na winga mzuri, ile game tungekuwa na wakati mgumu sana.
Jana baada ya kuingia walker na kuanza kucheza back four unaona namna tulivyoanza kuwa comfortable & stable pale nyuma.
Tukienda na back three kwa bayern tunaweza kuadhirika.