The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Acha ujinga wewe Manshit Arsenal Ni timu kubwa mara million ya Manshit
Hapa siongelei makombe acha kudandiadandia.

Naongelea experience ya current squad.
Uwe unasoma unaelewa ukishindwa unauliza usaidiwe.
 
Kesho movement za kina Sane ,mane ,gnabry mazee ....


Cancelo na alphons Davies watakuwa wanapanda sanaa .....!!


Tucheze na back 4 mazee ,tusije kula nyingi ,walker must start ....
 
Buyern technically wako vzuri ..

Kimmich akibaki pale kati ,musiala ,muller huwa anaungana na mane ,sane gnabry kufanya msako ,msako wao huwa sio wa kitoto .....




LB za buyern alphonse devies na cancelo wanapenda kupanda Sana mbele kushambulia kama mawinger ...hapa ederson atumie mguu wake vzuri kupiga long ball ...

Grealish na Mahrez naona kesho wakianza ,Hawa wawe na speed kweli kweli ,...
 
Buyern akikutana na team kubwa CL huwa ana turn up hatari ...

Mara nyingi huwa anatolewa kizembe na team ndogo ...
 
Nyie mbwa...hampati kitu msimu huu na maumivu yanaanza kesho ..ntakua hapa kugawa dawa tatu
 
Kesho movement za kina Sane ,mane ,gnabry mazee ....


Cancelo na alphons Davies watakuwa wanapanda sanaa .....!!


Tucheze na back 4 mazee ,tusije kula nyingi ,walker must start ....
Back 3 inatufanya tunakuwa na control kubwa ya mpira ila tatizo linakuja kwenye counter,, pep akikomaa na back three kesho tukijitahidi sana matokeo ni 2-2, 3-2 n.k ambayo sio nzuri kwa knockout games.

Back 3 inafaa kwa kuonea vibonde wa EPL.
 
City squad that trained today.

Ederson,Carson,Ortega,Ake,Dias,Akanji,Stones,Walker,Lewis,Laporte,Gomez,Gundogan,Rodri,Phillips,Bernado,KDB,Palmer,Perrone,Haaland,Alvarez,Mahrez,Grealish.

Only Foden is missing.
 
sisi kumuuza cancelo zinchenko na Jesus so wajinga wale watashangaa tukinyanyua makwapa takribani mara 3 msimu huu Mark my words.
 
Acheni uoga yaani nawahakikishia bayern katoka hana kitu mbele yetu msiishi kwa historia
Nop bro.

Ni facts wala sio uoga.

Msimu uliopita wakati tunacheza na madrid first leg pep aliingia na back three ya laporte, dias na fernandinho huku zinchenko akicheza kama midfielder, kilichotokea unakijua, madrid wakifanya counter attacks tunabaki uchi matokeo yake tukaruhusu goli 3 nyumbani.
Second leg pep akaweka back four na tukawa solid haswa, ni vile hatukuwa na bahati tu.

UEFA inatakiwa kulinda magoli na sio kufunga tu.

Hiyo back three tuwaonee kina soton na bornemouth.
 
Sure mkuu back 3 tucheze na Hao kina soton ...

Mtu kama sane ,mane ,kwenye one vs one sio poa kabisa ...

imagine counter attack mane Yuko na ball ,sane na gnabry wako mbele ,nyuma kabaki akanji na dias ,ake kaenda kumkaba mane .......,hio space Hao watatu hawakuachi ...


Kesho tukicheza back 3 tutakula nyingi mnoo ...
 
'Bayern have Sane, Mane, Gnabry, Musiala, and Davies - all very fast players, can they frighten you in this tie?'

Ruben Dias: "We have some names as well, we've got: Walker, Akanji, me, Ake, Stones, Laporte, Gomez - we've also got our names."

"You'll see, on the pitch..."

Hakuna kuogopa mtu [emoji23][emoji23]
 
Pep has hinted that he might play kyle walker on the right back side considering bayern's attacking threat.

I wonder if pep is just playing mind games and will still stick to his back 3 formation against energetic bayern.
Pep kama kaliona hili ni jambo jema, UEFA inaitaji kucheza kwa heshima sio kufungukafunguka tu.
Fingers crossed asije kuwa anatuchezea akili.
 
Sio madrid tu, hata game ya southampton bado kulikua na matatizo hayohayo, tulikuwa tunastruggle sana kudeal na pace ya soton na tulikuwa exposed mno hasa kwenye wide areas ni vile tu soton hawana cruel attackers.

Bayern ni elite club ina watu wana uwezo, tukionyesha huo udhaifu ni kichapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…