Tumekutunzia siti usije ukatukimbia tu.Nyie mbwa...hampati kitu msimu huu na maumivu yanaanza kesho ..ntakua hapa kugawa dawa tatu
Zincheko hamna beki pale, kwa uefa asingetufaa kabisa namna alivo uchochoro.sisi kumuuza cancelo zinchenko na Jesus so wajinga wale watashangaa tukinyanyua makwapa takribani mara 3 msimu huu Mark my words.
Zinchenko ni mzuri akiwa anashambulia ...ila team ikiwa Haina mpira ,hawez kudefend ...Zincheko hamna beki pale, kwa uefa asingetufaa kabisa namna alivo uchochoro.
Na ndio maana hafai.Zinchenko ni mzuri akiwa anashambulia ...ila team ikiwa Haina mpira ,hawez kudefend ...
Zincheko kwenye kudefend utamuonea tu.Na ndio maana hafai.
Beki ambae ni mzuri kushambulia tu kudefend hawez hafai kwenye mashindano ya mikiki na ujanja ujanja kama uefa.
Zinchenko defensively ni zero kabisa.
Alituchomesha ile fainali ya mwaka juzi huyu.Zincheko hamna beki pale, kwa uefa asingetufaa kabisa namna alivo uchochoro.
Hata akianza walker fullback bado atakuwa inverted pia.Nop bro.
Ni facts wala sio uoga.
Msimu uliopita wakati tunacheza na madrid first leg pep aliingia na back three ya laporte, dias na fernandinho huku zinchenko akicheza kama midfielder, kilichotokea unakijua, madrid wakifanya counter attacks tunabaki uchi matokeo yake tukaruhusu goli 3 nyumbani.
Second leg pep akaweka back four na tukawa solid haswa, ni vile hatukuwa na bahati tu.
UEFA inatakiwa kulinda magoli na sio kufunga tu.
Hiyo back three tuwaonee kina soton na bornemouth.
Nop, pep kashasema walker hayuko technical enough kucheza hiyo role.Hata akianza walker fullback bado atakuwa inverted pia.
Tofauti na stones, walker yeye ana speed ya kuja kufanya quick recovery.
Subiri uone Bayern anavyopikwaPepo ana gundu na UEFA labda mliibe
Sio gundu, kitu pekee kinachomuangusha ni namna anavyodefend.Pepopunda ana gundu na UEFA champions league
Liverpool kwenye ubora wao wamecheza sana hii high line na wamebeba uefa na kufika fainali mara kadhaa.Hii system ya high line huenda ndio inatufanya tunakuwa vibonde uefa miaka yote, mpaka sasa imeshaprove failure.
Ukiangalia centre backs wetu hawana speed, kipa sio shot stopper halafu tunacheza high line, sio ajabu tunafungika kirahisi.
Kama tusipobeba hili kombe mwaka huu, pep inabidi aangalie huu mfumo wake upya.
VVD ana pace kuliko stones/dias na hata kama ikitoa defence ya liva imekua outpaced, Allison alikuwa anawaokoa.Liverpool kwenye ubora wao wamecheza sana hii high line na wamebeba uefa na kufika fainali mara kadhaa.
High line huyu huyu pep kaitumia sana pale barca na kabeba makombe ya uefa.
Hiki kitu hata mimi nilishakiongea humu..city tungekuwa na shot stopper aina ya curtois, allison, cech, van der saar, de gea, mendy tungekuwa na uefa walau moja japo bahati mbaya ni kuwa asilimia kubwa ya makipa wa aina hiyo sio wazuri kwenye collective build up na hawana excellent footwork lakini angalau wanaweza kufanya majukumu yao ya msingi kabisa, kulinda goli.VVD ana pace kuliko stones/dias na hata kama ikitoa defence ya liva imekua outpaced, Allison alikuwa anawaokoa.
What about ederson?
Angalia mara zote tulizotolewa uefa, utagundua tumekuwa wahanga wakubwa sana wa hii high line.
The same kwa barca, victor valdes alikuwa kipa mzuri in terms of goal keeping kuliko ederson, defence ya barca ikizidiwa, jamaa alikuwa na uwezo wa kuwaokoa.