The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

.huu mfumo wa stone kuingia kati kama inverted midfielders,kama hakuna watu wenye mapafu ya mbwa kama jack na bernado wanaopanda na kushuka usije kujaribu ...

 
Mane anaingia watu wanashangilia mara oooh alishaifunga city goli 10+ wakati yupo Liverpool...

Sasa Leo alikuwa haonekani ...

Cancelo naye kaishiwa kuzomewa ..

Muller huwa namuogopa ila Leo kafichwa msitu mzito ...

Stone ni underrated defender ,ila ni bonge la solid defender ,..

Dias Leo kila alilokuwa anafanya ilikuwa sawa ,kapiga broke zote Kali zilizokuwa zinaingia golin ...
 
Dias alikuwa anajitupa mzima mzima, hakuna kupeleka shuti golini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…