FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Weka head to head ya city vs MadridLabda mnabeba lawama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka head to head ya city vs MadridLabda mnabeba lawama
Unatakaje sasa mpira pesa blood nunua talents hatununui super stars kama PSG tuna nunua vipaji haswaManchester city ni broila bila sheikh mansour ni sawa na stoke city au Wigan athletic
Mwaka huu mnatoka mikono mitupuWeka head to head ya city vs Madrid
NIna imani mzee, ni suala la mudaUnaimani na Bayern [emoji16]?
Mmmh kwa Madrid hapanaa, huyu akiwa UCL anabadilika, naombea atolewe na Chelsea.Tunabeba hakuna wa kutuzuia mungu atupe Madrid final tumtwange hatuwezi kiivyo
Sikatai kwao watashinda 9 ila kwa 8 kama Wanatoa 4 kwa mbili na Dortmund sie tushindwe pata goals?NIna imani mzee, ni suala la muda
Kwani hatujawahi mtua Madrid?Mmmh kwa Madrid hapanaa, huyu akiwa UCL anabadilika, naombea atolewe na Chelsea.
SafiDah sikutegemea Bavarians tutakufa goli nyingi hivi, city wamefaidika mno na makosa ya wale wapuuzi wawili, lack of confidence imetuangusha sana Bavarians, mechi ishakuwa ngumu tayari sifikirii city kama watazembea kiasi hicho kuturuhusu tuwatoe UCL second leg ijapokuwa najua tu mbugi pale Allianz arena itakuwa do or die Kwa Bavarians...niwapongeze man city Mimi kama Bavarians fan imenishangaza.
Wewe ni shabiki wa team gani kwanza?Mwaka huu mnatoka mikono mitupu
We mzee unatafuta attention au?Jukwaa la madenti
Hata mm sijui ila nahisi naipenda FC bandari ya tangaWewe ni shabiki wa team gani kwanza?
Kesho shule zote zinakuwa zimefunguliwa madenti mnaenda shuleWe mzee unatafuta attention au?
Hata km sio misimu hii miwili yuko tofauti sana.Kwani hatujawahi mtua Madrid?
Ukiacha makosa ya mabeki ila wale madogo kule mbele Gnaby na colman walizingua pia angalau angeanza Muller na chuopo moting mngepata chochoteDah sikutegemea Bavarians tutakufa goli nyingi hivi, city wamefaidika mno na makosa ya wale wapuuzi wawili, lack of confidence imetuangusha sana Bavarians, mechi ishakuwa ngumu tayari sifikirii city kama watazembea kiasi hicho kuturuhusu tuwatoe UCL second leg ijapokuwa najua tu mbugi pale Allianz arena itakuwa do or die Kwa Bavarians...niwapongeze man city Mimi kama Bavarians fan imenishangaza.
Coca naona bado uko haunted na kilichotupata msimu uliopita.Hata km sio misimu hii miwili yuko tofauti sana.
Nionyeshe picha mkiwa mme nywnyua ndoo...nyie tuna wajua tofauti yenu na psg ni jezi tuTulipofika final na Chelsea ulikuwa hujazaliwa?