Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Jamaa anaweza kutimuliwa tena maana bundesliga ndio kombe pekee walilobakiza.Hivi huyu TT alitufungaje ile final ....
Overrated Coacher .....
Alitubahatisha Sana ,naona anazidi kuyakanyaga huko buyern [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wangemuacha tu Nangelosman amalize msimu. Kocha kuichukua timu katikati ya msimu ni risk sanaHivi huyu TT alitufungaje ile final ....
Overrated Coacher .....
Alitubahatisha Sana ,naona anazidi kuyakanyaga huko buyern [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]