Wazee wa kuoverload na kupress wanategea[emoji23].. Tunawaambia kila sik hii sio maji maji ya songea au mbeya city wanadhan utan.Ndio tuseme arsenal leo hawafanyi high pressing?
Wamekutana na wakali wa hizi kazi.
Hawa ni wapuuzi, na bado wana goli la haaland hapoArsenal mwendo wameumaliza