Approach ni ile ile ila kwenye selection imembidi afanye hivyo sababu kdb ni injury, alvarez ndie obvious altenative aliyekuwepo na ndie aliyetuokoa.Game ya westham ni ngumu aisee ....
Wako motoo...
Cha mhimu , consistency...
Harafu pep asije kujaribu mifumo kwenye must win game ...Hilo litakuja kutucost ...
Hapana ni Bora Bernardo silva aanze ili pale kati kati tupamiliki vzuri ...Approach ni ile ile ila kwenye selection imembidi afanye hivyo sababu kdb ni injury, alvarez ndie obvious altenative aliyekuwepo na ndie aliyetuokoa.
Bernado ni kweli akicheza mid ni mzuri kuleta control na kurahisisha flow ya mipira, tatizo bado linakuja, nani atafungua tight defence ya timu husika? Alvarez kwa movement zake ndani ya box anaweza kusaidia kudisturb backline ya timu husika, akikaa bernado kwenye mid timu itatawala dimba sawa lakini tutakuwa passive golini kwa mpinzani kumbuka game ya leipzig first leg, tulimkosa kdb tukaanza na bernado matokeo yake tukawa hatuko aggressive.Hapana ni Bora Bernardo silva aanze ili pale kati kati tupamiliki vzuri ...
Ederson
Walker --- dias --- akanji
Stone --- rodri
Mahrez -- gundo -- Bernardo --grealish
Haaland
Hapa maana yake itabidi kumdrop either winga mmoja ama kiungo mmoja.Pep guardiola has hinted that he may have to find a way of fitting Julian Alvarez into his plans alongside Erling Haaland and Kevin De Bruyne.
_@ Manchester Evening news
Pep aache tumalize msimu kwanza timu imesha settle asianze kuvuruga structure.
Kwaiyo majeruhi wawili sasa hivi, huyu kdb ameumia mazoezin au?Pep guardiola has admitted that he is unsure when kevin de bruyne will return for first team action after missing a 2-1 win over fulham on sunday.
_@ CityXtra
Ngoja tuona atafanyaje japo hata mimi naona obviously atapunguza mtu kwenye mid ili kumuingiza alvarez kama akihitaji kwenda na hiyo plan ila kwa sasa aache tumalize msimu.Hapa maana yake itabidi kumdrop either winga mmoja ama kiungo mmoja.
Kwasababu gundogan anaweza kuondoka, nadhani alvarez atakua anacheza 10 then kdb 8.
Sidhani kama pep atafanya hii kwa msimu huu, hizo ni future plans.
Itakuwa ni mechi ya arsenal maana ndio alisema anahisi shida kwenye miguu yake.Kwaiyo majeruhi wawili sasa hivi, huyu kdb ameumia mazoezin au?
Another blow, hiki kipindi tunahitaji kikosi kilicho kamili na fiti ila ndio watu wanumia hope atapona mapema.KDB ana injury, anaweza kuikosa pia game ya west ham.
almanusura wadroo wamefunga dakika za jioni.Wenyewe ni kawaida yao wanakumbuka shuka kumekucha [emoji23][emoji23][emoji23]
Kdb kufikia wiki ijayo anaweza akarejea, ake ndio haijaeleweka.Another blow, hiki kipindi tunahitaji kikosi kilicho kamili na fiti ila ndio watu wanumia hope atapona mapema.
Spurs namna walivyofungwa ndivyo walivyotufanyie sisi msimu uliopita, unachomoa dakika za jioni then unapigwa tena.Game ya Liverpool namna ilivyoisha, ndio real drama ya football.
Hawa tungekutana nao hata keshoMadrid huko nako wanazidi kutafutana tu, vinn Jr na rodrygo injury patamu hapo.