Alvarez kaonyesha development nzuri kucheza kama namba 10, hope leo atadeliver another classic perfomance.With alvarez & haaland huwa tunastruggle sana kwenye kutengeneza nafasi hasa kwa hizi timu zinazocheza low block.
Beki 5 wala sio tatizo, unaweza weka beki hata 6 na bado ukatoboka vizuri tu.Naona West ham kaweka treni 5-4-1 leo kazi ipo
Mancty nusu ya goli zimefungwa na haland.mim nimeongea hivi na pep amewahi ongea hivi kwa kusema bila pesa iliyopo cty angekua na changamoto je pep ameamza kuangalia mpira lini?Mpira wa ulaya umeanza kuangalia lini?
Maana mtu anayefatilia mpira hawezi kuandika hivi.
Kwamba asingekuwepo haaland tungekua na nusu ya magoli tuliyofunga sasa.Mancty nusu ya goli zimefungwa na haland.mim nimeongea hivi na pep amewahi ongea hivi kwa kusema bila pesa iliyopo cty angekua na changamoto je pep ameamza kuangalia mpira lini?
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app