Cty ya msimu huu na msimu uliopita ni ardhi na mbingu msimu uliopita ilikua ya Moto mno na magoli pale mbele wali gawana sanaKwamba asingekuwepo haaland tungekua na nusu ya magoli tuliyofunga sasa.
Msimu uliopita hatukua na haaland timu ilikuaje?
Weka hapa hiyo interview ambayo pep anasema bila haaland angehangaika.
Anacheza nafasi ambayo hakuzoea ...Alvarez alianza kwa kasi sana lakini game inavyoenda anazidi kupoa.
Nilikua natumia yacine tv but now nacheki kwa tv tu.Wakuu mnatumia website gani ku stream epl games
Pep things. Hii role angemjaribu pre season kufanya experiment mechi za muhimu kama hizi zitacost pointAlvarez inabidi awe anacover eneo kubwa kama kdb, kwenye zile right channels anakuwa hafiki sana.
Goli lipo, chance zinapatikana ila kuzimalizia hatujawa na efficiency kubwa.No creative midifilder no goal ....