Lakini ni obviously yeye anataka kwenda madrid.Kulikua na taarifa kwamba bellingham amekataa offer ya city, ni kwamba bado hatujapeleka official offer yoyote kwa dortmund/Bellingham.
Mzee wa micro analysis.Pep huwa haishiwi suprises bro, kuoverthink huwa ni kugusa tu.
Pep mwenyewe kashaelewa anapokwama, for now amestick kwenye structure, no overthinking anymore.Pep huwa haishiwi suprises bro, kuoverthink huwa ni kugusa tu.
Tunaweza kuhijack deal si unakumbuka hata chelsea walivyofanya kwa mudrykLakini ni obviously yeye anataka kwenda madrid.
[emoji3] Acha unafki bro.Manchester City will win UEFA Champion league
Hakuna aliyetegemea pep atawaacha rodri na fernandinho kwenye fainali ya ucl na huku kawatumia season nzima, akaingia bila natural DM.Pep mwenyewe kashaelewa anapokwama, for now amestick kwenye structure, no overthinking anymore.
Everton ni wa 17 sasa hivi, anapambana kwa nguvu zote asishuke kule chini, tutakutana nae hapo tumetoka kwa madrid na ni away.Aisee everton kamlamba brighton 5 duuh
Hiyo game itategemea na matokeo ya first leg, tukitoka kule comfortably, basi everton tutakuja kumshughulikia, matokeo yakiwa si mazuri basi hapo utakuwa mtihani.Everton ni wa 17 sasa hivi, anapambana kwa nguvu zote asishuke kule chini, tutakutana nae hapo tumetoka kwa madrid na ni away.
Everton sio timu ya kuhofia, ndio ratiba ni ngumu ila everton sio timu ya kuifikiria wala kuihofia.Everton ni wa 17 sasa hivi, anapambana kwa nguvu zote asishuke kule chini, tutakutana nae hapo tumetoka kwa madrid na ni away.
Hizi game 3 tukichomoka vizuri ndio imeisha hiyo.Hiyo game itategemea na matokeo ya first leg, tukitoka kule comfortably, basi everton tutakuja kumshughulikia, matokeo yakiwa si mazuri basi hapo utakuwa mtihani.
Uzuri ni kwamba game ni jumapili, tutakuwa na muda mwingi wa kurecover from tuesday to sunday, kama siku 4 hivi hapo kati.