Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Injury tunazokua nazo mostly huwa zinatukost na huwa zinakuja kwenye defence.Leo kitaeleweka tu, Ake watamkuta kule etihad
Pep leo angekuwa na wakati mgumu sana kuchagua aanze nani kama right fullback kati ya walker na akanji.Always tukikutana na real madrid lazima tuwe na injury ya key player(s) why?
Hakutakuwa na pengo leo, we have the bad man Akanji.Injury tunazokua nazo mostly huwa zinatukost na huwa zinakuja kwenye defence.
Semi final ya 2016 second leg tulimkosa captain kompany.
Semi final ya mwaka jana first leg tukawakosa cancelo na walker.
Semi final ya mwaka huu first leg tunamkosa Ake.
Hili kombe tungekuwa tushalibeba toka 2021, pep akatuchomesha fainali.Defence ndio eneo pekee lililokua linatuangusha, msimu huu tuna ukuta wa berlin, ndiyo timu iliyoruhusu magoli machache zaidi kwenye uefa msimu huu magoli 4 tu.
Kwenye kufunga wala hakuna mjadala, city hatujawahi kufeli linapokuja suala la kuscore.
Tukilikosa hili kombe mwaka huu nitaamini kweli tuna laana ya uefa.
Hatakama Ake angekuwepo, leo walker angeanza tu, akanji angebaki benchi.Pep leo angekuwa na wakati mgumu sana kuchagua aanze nani kama right fullback kati ya walker na akanji.
Ake hayupo maana yake backline piga ua itakuwa-
Akanji...dias...stones...walker
It's a shame the best team in the world tunashindwa kubeba uefa.Fabio Capello has labeled Manchester city "the best team in the world"
Tumesifiwa sana, ni muda sasa wa kubeba hili kombe.
Odds ngapi ??Madrid 2 city 1.
UEFA inahitaji mpira wa kimafia, City now tunacheza kimafia, hatujali tena habari za possession, tunacheza kiutu uzima.Hili kombe tungekuwa tushalibeba toka 2021, pep akatuchomesha fainali.
Mwaka huu akishikilia hapahapa bila the so called overthinking, huyu mwali tunamleta etihad kwa mara ya kwanza.
Bro kwa ushindi huo unategemea uende final na bado kuna kiama cha etihad?Madrid 2 city 1.
.Bro kwa ushindi huo unategemea uende final na bado kuna kiama cha etihad?
There is no way madrid ataenda final.