The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Guys tukitoka na matokeo hapa, madrid ana kazi ngumu pale etihad
 
Kevin de bryena na kipa wa madrid kotuas walikuwaga mabest friends hadi kotuas alipomgonga demu wake debreina wakawa maadui hawaonfei licha ya wote kuwa timu ya taifa ya ubelgij

Ndo maana dibroina kashangilia hilo goli kwa hisia
Hisia hazitampeleka popote... Usichanganye hisia na kazi...it's lethal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…