The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Hao ndio man city, kama namuona aguero vile

Hakuna cha benzema, vinicius wala modric hahhaaaaaaaaa

IMG_2907.jpg


Leo huyu muhuni hajaonekana [emoji16] Pep apewe maua yake
 
Mtu unamwambia vizuri tu kwamba bwana pale etihad hatujapoteza mechi yeyote kwenye UCL kwa miaka mitano mfululizo, analeta porojo
na fainal mtachezea etihad bas katen rufaa muombe ihamishiwe apo
 
Mtu unamwambia vizuri tu kwamba bwana pale etihad hatujapoteza mechi yeyote kwenye UCL kwa miaka mitano mfululizo, analeta porojo

Kuna watu ubishi ni asili yao lakini unajiuliza hata records nazo hawaziamini?
 
Imagine Alvarez anakuwa na CL ,PL ,fa ,wc ......balondoor si anachukia hapo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom