Yaan alitaka kunirusha rohoo hapa khaaaahUnafikiri hata anamaanisha basi, wote tunajua UEFA ndio kitu pekee kinachowapa critics wake maneno ya kumsema, wanakwambia "pep can't win UEFA without messi" halafu leo yeye atuambie EPL ndio muhimu zaidi [emoji3] NEVER.
Tukibeba treble itakua ya kibabe sababu tutakua tumefanya total dominance, mpira mkubwa.Kuna ka mjadala kanaendelea eti treble ipi itakuwa iconic zaidi kati ya ile ya nyumbu au hii inayotarajiwa kuwa yetu.
Hahahaha mwaka 1999 ulikuwa unajua mpira wewe kima.Tukibeba treble itakua ya kibabe sababu tutakua tumefanya total dominance, mpira mkubwa.
Treble ya man u ukiifatilia utagundua ilikua ya papatu papatu sana.
Treble yetu itakua superior haina ubishi.Kuna ka mjadala kanaendelea eti treble ipi itakuwa iconic zaidi kati ya ile ya nyumbu au hii inayotarajiwa kuwa yetu.
Maybe kama tukiongelea kwenye angle ya excitement, treble ya united ilihusisha comebacks nyingi sana tofauti na city kama tukibeba itakua tumebeba kwa kufanya utemi kwa opponents wetu, mtu unafungwa wewe mwenyewe unakubali kweli huu mziki ni maji marefu.Tukibeba treble itakua ya kibabe sababu tutakua tumefanya total dominance, mpira mkubwa.
Treble ya man u ukiifatilia utagundua ilikua ya papatu papatu sana.
Kwani rekodi si zipo bro, kwani mpaka mtu uwepo hiyo miaka?Hahahaha mwaka 1999 ulikuwa unajua mpira wewe kima.
Jamaa carreer yake inakua ruined na hiyo timu aisee.Kane inabidi aondoke hapo spurs.
Mechi zipo mitandaoni tumeona namna walivyokuwa wanatembelea upepo wa bahati, uwezo walikua nao lakin sio kama ilivyo city, bahati ili play part kubwa sana kwenye treble yao.Hahahaha mwaka 1999 ulikuwa unajua mpira wewe kima.
Nyumbu inaonekana walibeba kibahati bahati sana.Maybe kama tukiongelea kwenye angle ya excitement, treble ya united ilihusisha comebacks nyingi sana tofauti na city kama tukibeba itakua tumebeba kwa kufanya utemi kwa opponents wetu, mtu unafungwa wewe mwenyewe unakubali kweli huu mziki ni maji marefu.