The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

IMG_3747.jpg

Nightmare
 
Teams with the longest unbeaten streaks at home in UCL history.

1. Barcelona - 38 matches

2. Bayern munich - 28 matches

3. Man city - 26 matches

Msimu ujao tunavunja record
 
Bernado silva kashinda tuzo zote za UCL player of the week na UCL goal of the week.
Nakumba ile UEFA nafikili ilikuwa 16 Bora , tunacheza na Monaco ....

Etihad tukawafunga 5 aguero alikuwa moto ,stone na kolorav ndio CB[emoji23] sagna anacheza LB ....

Uzuri tulikuwa na winger matata sane na sterling ....

Lakin tulivoenda Monaco kule aisee , bernado silva na fabihno walitunyanyasa japo hakufunga lakin nahisi ndio sababu ya pep kumnunua bernado ,aisee alizidhalilisha midifilder zetu,,ile game tulipigwa mapema mnoo .....

Bernado silva ni bonge la mchezaji Toka zaman ,ni vile tu watu huwa wanaangalia statistics za magoli +assist kumjaji mchezaji ...
 
Msimu huu hakuna kosa tutafanya ndoo yoyote ile hata iwe ya kuwekea maji tutabeba.

#TheCityzens [emoji41]
 
Siku kama ya leo mwaka 2019, our former captain, Vicent Kompany alituaga na kuuvua rasmi uzi wa city.
 
Pep anasema ubingwa wa EPL ndio wa muhimu zaidi ya hayo mawili mengine.
Huyu asitutanie hapaa, sisi tunataka UEFA, huyu kipara asije uza hii final, ashaanza mbambamba hapa

Anataka kunitibua sasa. Khaaaah
 
Nakumba ile UEFA nafikili ilikuwa 16 Bora , tunacheza na Monaco ....

Etihad tukawafunga 5 aguero alikuwa moto ,stone na kolorav ndio CB[emoji23] sagna anacheza LB ....

Uzuri tulikuwa na winger matata sane na sterling ....

Lakin tulivoenda Monaco kule aisee , bernado silva na fabihno walitunyanyasa japo hakufunga lakin nahisi ndio sababu ya pep kumnunua bernado ,aisee alizidhalilisha midifilder zetu,,ile game tulipigwa mapema mnoo .....

Bernado silva ni bonge la mchezaji Toka zaman ,ni vile tu watu huwa wanaangalia statistics za magoli +assist kumjaji mchezaji ...
Bernado ni world class hilo wala halihitaji mjadala na sidhani kama kuna mtu ana doubt uwezo wa bernado.
 
Nakumba ile UEFA nafikili ilikuwa 16 Bora , tunacheza na Monaco ....

Etihad tukawafunga 5 aguero alikuwa moto ,stone na kolorav ndio CB[emoji23] sagna anacheza LB ....

Uzuri tulikuwa na winger matata sane na sterling ....

Lakin tulivoenda Monaco kule aisee , bernado silva na fabihno walitunyanyasa japo hakufunga lakin nahisi ndio sababu ya pep kumnunua bernado ,aisee alizidhalilisha midifilder zetu,,ile game tulipigwa mapema mnoo .....

Bernado silva ni bonge la mchezaji Toka zaman ,ni vile tu watu huwa wanaangalia statistics za magoli +assist kumjaji mchezaji ...
Monaco ya kipindi hiko ilikua ya moto asee, kina bernado,mbappe, bakayoko, falcao aisee walituaibisha sana.
 
Monaco ya kipindi hiko ilikua ya moto asee, kina bernado,mbappe, bakayoko, falcao aisee walituaibisha sana.
Falcao mbwa yule mpaka Sasa goli lake linaniijia kichwani ,tulitoka kizembe sanaa ,enzi hizo goli la ugenin ndio lemtutoa maana aggregate ilikuwa 6-6 ....

Magoli ya ugenin yametutoa kwenye uefa Kwa majonzi,ile game ya spurs ndio ilikuwa majangaa ....

Aisee tunyanyue tu hii UEFA maana tulikotoka ni hatari [emoji23]
 
Huyu asitutanie hapaa, sisi tunataka UEFA, huyu kipara asije uza hii final, ashaanza mbambamba hapa

Anataka kunitibua sasa. Khaaaah
Unafikiri hata anamaanisha basi, wote tunajua UEFA ndio kitu pekee kinachowapa critics wake maneno ya kumsema, wanakwambia "pep can't win UEFA without messi" halafu leo yeye atuambie EPL ndio muhimu zaidi [emoji3] NEVER.
 
Unafikiri hata anamaanisha basi, wote tunajua UEFA ndio kitu pekee kinachowapa critics wake maneno ya kumsema, wanakwambia "pep can't win UEFA without messi" halafu leo yeye atuambie EPL ndio muhimu zaidi [emoji3] NEVER.
Mind game hizo ,Kwa Sasa pep anahitaji CL kuliko hizo fa na PL
 
Back
Top Bottom