Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
ndyo maan huo ni unafiki Ludini kweny machimbo yenu ya wakina Arsenal na Man utd hukoKuna ubaya kwenye kuvamia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndyo maan huo ni unafiki Ludini kweny machimbo yenu ya wakina Arsenal na Man utd hukoKuna ubaya kwenye kuvamia?
Huyo bwege sio mara ya kwanza kutuletea usenge wake humu, nlishamripoti lakini naona bado anadunda tu na leo kaja tena.mripoti ili imfikie moderator
Ludini ndio vitu gani we jamaandyo maan huo ni unafiki Ludini kweny machimbo yenu ya wakina Arsenal na Man utd huko
Kwamba ligi tunamaliza rasmi jumapili, hizo zingine ni warm up tu.PARTY AFTER PARTY
Sunday- EPL tittle
2 warm up matches (brighton, brentford)
June 3- FA cup
June 10- UCL trophy
how do they call it?
UNPRECEDENTED TREBLE.
Mapema sana wawape kombe lenuNa hatujaishia hapo, karibu jumapili ushuhudie tunavyopewa kombe.
Typing error lakin si umeelewaLudini ndio vitu gani we jamaa
Ukiona mtu anamdisi shabiki wa city jua huyo mpira ushamshinda.watu wanasema mashabiki wa City ni watoto au wamehama team so mbaya kwakuwa sio kabila dini tunahama hamtuulizi sembuse team mwaka huu na mwakani dozi ile ile
mkuu nawaonea huruma hawa vijana tuandae suti j2Ukiona mtu anamdisi shabiki wa city jua huyo mpira ushamshinda.
Fans wa arsenal ndio wanaongoza.
Stones anaenda kubeba UEFAWatoto wajuzi timu yao nzima wenye experience ya uefa final hawazidi 5 ....Wanataka kupambana na wahuni
Yani stones abebe uefa mbele ya rudiger come on bro unamuonea stones wawatu ...his isn't matured for this cup "War" apambane maybe na kina Everton
Oh wait everton kamfunga jana brighton na yupo kwa religation battle na atacheza na city on sunday home
Damn ...city trebles itakuwa chungu wasijisahau
TUPO HAPA KUWAJAZIA NZI KAMAWAO WANAVOWAJAZIA WATU KWA THREADS ZAO
Mind your business brother, kivyovyote vile wewe unateseka nini?Mashabiki wa hii timu wanaundwa na watu wa makundi 3
1.watoto waliozaliwa 2005 na kuendelea
2.Wahamiaji waliotoka timu zao za asili
3.Wazee wa kubeti
Sasa hapo bora ilo kundi la tatu