The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Na aatapigwa kwa ujuaji mwingi we umuweke walker nje mtu mwenye nguvu na Kasi yakushambulia nakurudi kukaba kwenye nafasi yake kwa haraka
Walker amekuja kupata nafasi kuanzia semi final tena baada ya Ake kuumia, huko kwingine ilikua ni Ake-Akanji, muwe mnafatilia so kuongea tu kwa hisia.
 
Inter wanazidi kuwa na confidence wakati sisi ndio tunazidi kuvurugika, tumepoteana kwa namna flani, inataka kujirudia ya 2021
Nina imani na Pep, yeye ni kocha mwenye uwezo mkubwa sana, najua kashawasoma inter anaweza kubadilisha mfumo ghafla akawashangaza
 
Wakabe hivyo hivyo la sivyo wakilegeza watafungwa. Pep kibindi cha pili amuingize Mahrez na Walker. Huyu Ake asingeanza.

Angalau Mahrez acheze mechi yake ya mwisho City kabla ya kwenda Saudi Arabia
Tatizo la Mahrez kwenye kukaba utamkataa. Akiingia Mahrez upande wa kulia utazidiwa mapema kumfanya yule muhuni Dimarco amnyanyase Akanji zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…